Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

DECl6_sXgAAL-Ah.jpg
 
mkuu huu usajili me naona km man wamepanick jamaa co mzuri kiivyo...angekuwa wamaana sn kipndi 2mekoma na morata chelsea wangeshambeba ! na km kwenye option huyu atakuwa alikuwa chagua la mwisho
Issue ni kwamba kutoa £90 kwa bench warmer labda mou atawachukua wote japo kwa mujibu wa sky sports morata kwisha habari yake
 
mkuu huu usajili me naona km man wamepanick jamaa co mzuri kiivyo...angekuwa wamaana sn kipndi 2mekoma na morata chelsea wangeshambeba ! na km kwenye option huyu atakuwa alikuwa chagua la mwisho
Management ya Chelsea wako slow kufanya usajili,Kama option 1,2 hazipatikani unahamia option no 3
 
LUKAKU LATEST

Here's an update from our reporter James Cooper.

"Manchester United have got their number one target. I’m told the Wayne Rooney deal isn’t linked with this offer, although negotiations are going on between the clubs. Lukaku will have a medical in the next couple of days, which means he should be able to join up with the squad in America for pre-season. United report for training on Saturday and fly out on Sunday.

"This means United have ended their interest in Real Madrid striker Alvaro Morata."
Alvaro Morata anakuja tu hahusiani na usaili wa Lukaku
 
mkuu huu usajili me naona km man wamepanick jamaa co mzuri kiivyo...angekuwa wamaana sn kipndi 2mekoma na morata chelsea wangeshambeba ! na km kwenye option huyu atakuwa alikuwa chagua la mwisho
Lukaku alitaka kurudi Chelsea lakini tatizo ni namba haina uhakika huku Costa suala lake liko hewani.

Lukaku kafunga goli nyingi huku hana suppliers wa uhakika sasa kafika kwenye chemuchemu ya utengenezaji wa magoli

Musimu uliopita tulitengeneza vyumba vingi lakini hatukuwa na wamaliziaji sasa hizo draw ukizigeuza 90% zingelikuwa tumeshinda leo tungelikuwa mabingwa wa EPL

Lukaku ataambiwa awe ndani ya peneti box wala asitafute mipira utaona kama musimu ujao hajafunga +30 magoli
 
Lukaku bonge la mchezaji....
Siyo utani na ana mashuti anapiga vichwa kubwa Mourhnio huwa hakosei kwenye usajili wa strikers na ndiyo maana katwaa mataji mengi sana

Musimu uliopita alilia sana kwanini Chicharito aliuzwa na alidai angelikuwepo vile vyumba angefunga zaidi ya +20 na Manutd wangelishinda ubingwa wa EPL

Ili kutwaa ubingwa wa EPL Tunahitaji strikers wawili jumla ya mabao kwa musimu yasipungue +50 ukiongezea na midfielders basi yasipungue 80+

Morata na Lukaku kwa pamoja lazima wafunge 50+ na ndiyo maana bila kumsajili Morata ubingwa wa EPL tusahau

Waliopo hawezi kufunga 20+ kwa musimu ili ukijumlisha na Lukaku yafikie 50+ kwa strikers tu kabla ya midfielders
 
Lukaku bonge la mchezaji....
Siyo utani na ana mashuti anapiga vichwa kubwa Mourhnio huwa hakosei kwenye usajili wa strikers na ndiyo maana katwaa mataji mengi sana

Musimu uliopita alilia sana kwanini Chicharito aliuzwa na alidai angelikuwepo vile vyumba angefunga zaidi ya +20 na Manutd wangelishinda ubingwa wa EPL

Ili kutwaa ubingwa wa EPL Tunahitaji strikers wawili jumla ya mabao kwa musimu yasipungue +50 ukiongezea na midfielders basi yasipungue 80+

Morata na Lukaku kwa pamoja lazima wafunge 50+ na ndiyo maana bila kumsajili Morata ubingwa wa EPL tusahau

Waliopo hawezi kufunga 20+ kwa musimu ili ukijumlisha na Lukaku yafikie 50+ kwa strikers tu kabla ya midfielders
 
Back
Top Bottom