Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,273
Uhalisia wa bei na viwango havifanani so ukibugi utajikuta unamnunua mtu 100m tuwe na subira.
POVUIli li club sasa lakifala linashindwaje sajili kilasiku tetesi2 ufala mtupu kina mourhino amna kitu kumbe hata lacazette tumezidiwa na arsenal ufala uu
Shida ipo hapo ni mzuri ila si kwa bei hiyo wanayotaka kutupiga kizembe tunahitaji mfungaji na Morata anafaa ila jamaa wanataka kutukomoa.Sioni shida saana kwa usajili kujivuta,,,
Ikumbukwe wanaofanya michakato namaanisha Ed na Josee pia wanahitaji wachezaji wapya kuboresha timu na mapato mengine kibiashara,,,.
Soko limekua gumu mwanzoni ila naamini litakua zuri mwishoni,,.
Real wanataka kutupiga kizembe kabsa,,, hivi Morrata anaewekwa benchi na Benzema wa leo ni wa kulipa £79??
Anataka mda mwing wa kucheza na pale Real hicho kitu hatakipata,, lazima atauzwa tu..
Tuwe wapole mambo yatakua sawa japo kibishi sanaa,.
Hawa wahuni sasa duh
Tumekwama kwenye usajili.....timu zinapandisha value za wachezaji hovyo hovyo.