Dirisha limefunguliwa jana tu kwa hiyo subira huvuta kheriHivi mbona usajili wetu haueleweki mpaka napata hasira shida ni nn kama fedha najua tunazo
Awape sifa yao kwa kuwaita waviziaji na sio wavivu goal poachers walikuwapo kutokana na mifumo iliyokuwepo tukumbuke mpira unapita katika kipindi tofauti so mshambuliaji jukumu lake ilikuwa kucheka na nyavu ni ufundi ýaqub aigben wa nigeria katika world cup moja alikosa goli mita moja toka golini. Huwa nikimtizama chicharito nakikumbuka kizazi cha tore Andrew flo kina pippo na Rvn
Ngoja tusubiri i hope awe Matic mastriker hasa MorataHizi siku 3 hakuna tetesi za maana juu ya timu yetu. Nategemea hii week inayoanza kesho kuna mchezaji atakaesajiliwa,hii ni kutokana na timu inaenda US siku ya jpili.
Hii imekaa kama mini ya gauni effeminate dress
Hii imekaa kama mini ya gauni effeminate dress
Hii ni ya mamanzi.