Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2017-06-25-07-52-19.png
 
Sio kweli mkuu, di marzio huwa anaandika habari zinazohusu mchezaji wa taifa la italy au anaetakiwa na timu ya serie A au anaetoka kwenye timu ya serie A kwenda club nyingine.

Ukiona di marzio ame andika habari mbali na hizo basi lazima nae aandike chanzo chake. Fuatilia utaniambia.

Sky sport ndio ilikua reliable source pekee ya habari world wide lakini saizi nao ni wapiga hela tu.

BBC=England
Di marzio=italy
La parisien=ufaransa
Kicker=ujeruman japo imegawanyika sana, Bild kwa habari za bayern munich angalau wanaaminika, WAZ kwa habari za dortmund na shalke 04
Marca=madrid
Sport=catalonia
Loserpool echo= loserfool
Evening standard = kwa timu zinazotokea london

Di Marzio hayupo mwenyewe,kuna watu wengine anaofanya nao kazi kama Keveh uyu yuko England,Fabrizio yuko Italy,Tancredi yupo Spain,Mario Giunta.
Kwasasa uyu ndie ninaemuamini,hawa wengine wamekua wapiga ramli tu.
 
Kwa Jose Mourhnio hiki ni kipindi kigumu sana.

Si Spain anakotuhumiwa ukwepaji kodi wa £2.9 mill na sasa Mbunge UK anataka achunguzwe kwa ukwepaji wa kodi wa awamu yake ya kwanza Chelsea. Kule Spain ni nafuu ni faini badala ya kifungo lakini UK anaweza kufungwa hadi miaka 6 mbali ya faini ya £17.4 mill

Kama hayo hayatoshi baba sasa...
 
Back
Top Bottom