xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Hakuna chanzo cha habari cha kuaminika zaidi ya official account ya Manchester, hao wengine wote waokoteza habari tu.Mbona taarifa zinazotumwa humu huwa ni kutoka chanzo kimoja tuu cha habari afu cha kushangaza karibia habari zote siyo za kweli kabisa.. I advice the man to use Sky Sports news