Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2017-06-23-21-51-16.png
 
Hapana mkuu hatujakwama kwanza dirisha la usajili linafunguliwa official July 1 hilo 1 pili target za Man united hazijulikani kama ambavyo vyombo vya habari vinavyoripoti tunaeataka wachezaji watatu tu ukimtoa lindelof nakuahidi July 20 titakuwa nao wote na utajua mourinho anafanya nini

Dirisha la usajili kwa England limefunguliwa mda mrefu tu.
 
Mbona taarifa zinazotumwa humu huwa ni kutoka chanzo kimoja tuu cha habari afu cha kushangaza karibia habari zote siyo za kweli kabisa.. I advice the man to use Sky Sports news
 
Back
Top Bottom