Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Hapana mkuu hatujakwama kwanza dirisha la usajili linafunguliwa official July 1 hilo 1 pili target za Man united hazijulikani kama ambavyo vyombo vya habari vinavyoripoti tunaeataka wachezaji watatu tu ukimtoa lindelof nakuahidi July 20 titakuwa nao wote na utajua mourinho anafanya nini