Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naomba kuuliza hivi target yetu ni ipi hasa? Maana naona wachezaji wengi sana wanatajwa kila siku kwamba tunawataka. Ukiwahesabu unaweza kuunda kikosi kingine kipya. Je ni kweli tunawataka wote hao au tunapelekeshwa na gossips za media?
Nafahamu kwamba wote hatujajua Mourinho alimpa list gani bwana Woodward, lakini naamini kuna wadau ambao wapo vizuri wanaweza kunisaidia ni wachezaji gani hasa wanatakiwa Manchester United. Ikiwezekana na ambao wanatakiwa kuondoka excluding Zlatan
 
Mawazo ya Paul Merson ni mazuri ila Tottenham au Kane hawana mwelekeo kufanya hii biashara sasa kwanini Mourhnio apoteze muda?

 
Ugumu ni soko la usajili. Unapoenda kuomba kumsajili mchezaji kwenye timu yoyote ile huendi Kinyongekinyonge bali unaenda kwa kujiamini ya kuwa hata ukimkosa unayo mibadala lukuki ili kupunguza dau.

Mourhnio kila nafasi anayotaka kusajili anampa Woodward majina matatu au manne ili awe na uwanja mpana wa kucheza na soko kwa bei, ubora n.k
 
Official:Manchester United is pleased to announce that it has reached agreement with Benfica for the transfer of Victor Lindelof, subject to a medical examination, international clearance and personal terms.

A further announcement will be made once the transfer is complete
 
Finally Manchester United wamesajili mchezaji toka Benfica baada ya drama za kina Nicolas Gaitan,Ezekiel Garay na Renato Sanches
 
kuwa mvumilivu tu muda si mrefu utafurahi, ed woodward mbona yupo vizuri kwenye soko la usajili au umesahau kama kwenye utawala wake amesajili wachezaji wengi tu kama van persie, di maria,bailly,mata,herrera,pogba.
kama fala huyu woodward kwa macho ila iyo kichwa ina akili balaa
 
Nasikia wamehamia tena kwa Tadic hahahaaaaa

Kweli kicheche akiona lindo ahami kambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…