Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

_53023627_messi3.jpg





_53041815_messisitswembley_getty.jpg


_53032038_fergusonrooney.jpg



Mazishi yatakuwa saa ngapi?

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
27_05_2009--682-_1318179a.jpg


Nasikia Manda , Ngongo pamoja na Belo wako mahututi presha imepanda hata mechi hati hati kuiona, Mfarisayo yeye anatapatapa kama mfa maji khe khe khe kheeeeeeeeeeeee BJ anarudisha kadi rasmi kesho jioni ... .... .
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
WILSHIRESPLASH_1318198a.jpg




Wilshere country Vs club ..... ..... ..... ....




MANU11_682x600_1318351a.jpg




Wakuu haya mazishi yatakuwa ya uhakika pasipo shaka chioni mkitoka hapa
Khe khe klhe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
article-1391614-0C4CBE6E00000578-770_634x335.jpg



Refa wa mchezo wa kesho watatu kutoka kushoto (Viktor Kassai)
akichukua mazoezi na wenzake

Swala hapa ni Je, Fungie amewapatia bahasha? Je, alimtuma nani kuwapatia?
 
article-0-051F7B35000005DC-299_634x445.jpg



Will they do it again? Barcelona won the European Cup in 2009 after victory
over Manchester United in the Rome final


Mshindi atajinyakulia takriban £110 million na mpinzani at least 63 million .... . .




article-0-0C436BA100000578-945_634x420.jpg


The pressure is mounting to charge Barcelona ..... ..... ..... ....
kwa kupanga mauaji ya Manure na masaa ndio karibu yanaisha
khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


 
Barca wako katika hali nzuri kisaikolojia............i.e. Timu bora duniani, Mchezaji Bora duniani yupo kwao......in a way they got nothing to loose............hivyo watacheza vizuri tu na ikibidi KUFUNGA magoli........

Mashetani wana - pressure kubwa..........kwanza kuondoa ile hasira ya kufungwa na Barca 2009............pili wako nyumbani....tatu wao ni underdogs............

Well............ninavyomfahamu Babu SAF..............atakuwa ameishanyia kazi hali hiyo............na vijana wataingia na ari ya ushindi kama kawaida yao...............na hatimaye kushinda gemu..........watch their pace!!
 
Wacha1 hivi hukuiona thread ya champions league au Barcelona mpaka uje humu utujazie picha za wachezaji wa Barcelona na marefa, basi tu ndio mbwembwe zenyewe?
 
Wacha1 hivi hukuiona thread ya champions league au Barcelona mpaka uje humu utujazie picha za wachezaji wa Barcelona na marefa, basi tu ndio mbwembwe zenyewe?

...HA HA HA! kule uswazi wana msemo "Mtajibeba!"...mtajibeba kwa saana leo...Wacha1 'mwaga mboga' babaa'ke...la mgambo limelia, wakumbushe!!!

Hatoki mtu leo wala hatumwi mtoto sokoni!!!!
 
...HA HA HA! kule uswazi wana msemo "Mtajibeba!"...mtajibeba kwa saana leo...Wacha1 'mwaga mboga' babaa'ke...la mgambo limelia, wakumbushe!!!

Hatoki mtu
leo wala hatumwi mtoto
sokoni!!!!
Naona leo mmetupania kweli kweli...haya wakati wenu wa kujidai huu..!
 
fergie_1318819a.jpg

HOW DO ... Rooney shakes hands with Bryan Glazer at Wembley training yesterday

parl_1318712a.jpg

Park on a mission to muzzle Messi
 
Wembley-Stadium-General-06_2601144.jpg

Machinjio yapo tayari, kinachosubiriwa ni ng'ombe (Barca) kuingia
Wembley-Stadium-General-10_2601150.jpg

Wembley-Stadium-General-05_2601151.jpg
 

Final fantasy

The two best teams in Europe - Manchester United and Barcelona - meet at Wembley to decide the fate of this year's Champions League trophy in a rematch of the 2009 final. Preview | Report
 
Ushindi wetu leo utazidi kuwafanya Arsenal, Chelsea kuonekana more inferior kwetu. Kwahivyo hawana budi kupeleka karata zao Barcelena.
 
Back
Top Bottom