Napenda kikosi cha leo kiwe kama ifuatavyo
Substitution
- Van de Sar
- Fabio
- Evra
- Vidic
- Ferdinand
- Carick
- Valencia
- Giggs
- Hernandez
- Rooney
- Park
Smalling,Rafael,Oshea,Fletcher,Anderson,Nani,Scholes,Owen,Berbatov
Kama tutaweza kwenda mapumziko hawajatufunga basi tutakuwa na nafasi kubwa kuwafunga,kitu cha msingi ni kumbana Dani Alves kwani mara nyingi ndio analeta mashambulizi ya Barca.Tuna defence nzuri kuliko wao na wao wana midfield kali kuliko sisi
Kama tutaweza kwenda mapumziko hawajatufunga basi tutakuwa na nafasi kubwa kuwafunga,kitu cha msingi ni kumbana Dani Alves kwani mara nyingi ndio analeta mashambulizi ya Barca.Tuna defence nzuri kuliko wao na wao wana midfield kali kuliko sisi
Yeah hiki ndio cha muhimu sana leo.Defence yako sio nzuri kabisa ila pale kati ndio wapo vizuri sana so tukiwadhibiti kwa hiyo basi ni powa kabisa....
Hahahahaha!!!!!!!! Hizi ni dalili za kupark bus leo!
vyuti vinang'aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa