Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ngoja tuone usajili utakuwaje. Ila inasemekana Mou anata wachezaji wa4 tu. Na pia nahisi kitendo cha kumjumuisha Morata ktk deal la De Gea ni kama kawaambia Madrid David is not for sale. Kamuwekea price tag ya milion 65,ila wakitegea na Morata watampata kwa milioni 21.

Wakati Madrid wao wanasema value ya Morata ni milion 60.
Baada ya United kufuzu Champions League possibility ya DDG kutaka kuondoka imepungua
Mourinho hana tatizo , De Gea akitaka kuondoka atamuachia but ametoa condition ya kubadilishana wachezaji hataki fedha pale Madrid wachezaji ambao Mourinho anawakubali ni Varane na Kroos while wachezaji ambao Madrid wanaweza kuwauza mwisho wa msimu ni Bale,James na Morata.

Zidane bado anamkubali Navas na game za mwisho wa msimu amefanya vizuri ingawa Perez anataka DDG,saga la DDG kwenda Madrid huenda likachukua muda kama lile la Fabregas kwenda Barca
 
Baada ya United kufuzu Champions League possibility ya DDG kutaka kuondoka imepungua
Mourinho hana tatizo , De Gea akitaka kuondoka atamuachia but ametoa condition ya kubadilishana wachezaji hataki fedha pale Madrid wachezaji ambao Mourinho anawakubali ni Varane na Kroos while wachezaji ambao Madrid wanaweza kuwauza mwisho wa msimu ni Bale,James na Morata.

Zidane bado anamkubali Navas na game za mwisho wa msimu amefanya vizuri ingawa Perez anataka DDG,saga la DDG kwenda Madrid huenda likachukua muda kama lile la Fabregas kwenda Barca
All in all DDG bado anahitajika pale United,ingawa Romero ni back up nzuri endapo David akiondoka.
 
hivi vyombo vya habari vya ulaya vinapaswa vituonelee huruma wapenzi wa manchester united, ni kweli timu ina mapungufu ila uvumi mwengine umezidi,
yaani belotti ana thamani ya pound million 84 haliyakuwa hana maajabu yoyote ya kimpira na sijaona tofauti yoyote kati yake na vardy.
ni bora arudishwe chicharito kuliko belotti.

ila ni mtazamo wangu tu nisije nikaambulia lugha yenye kuudhi
VDG alishawahi kusema kuwa, MANUTD akitaka kumsajiri mchezaji yeyote, basi bei inapanda hata mara tatu. Hata Progba, kama isingekuwa ni MANUTD, basi asingeuzwa kwa bei aliyouziwa!
 
James ni mchezaji mzuri sana tena wa kiwango cha dunia swali linakuja je anaweza kuingia kwenye mfumo wa Mourinho? Kama mnavyojua Mourinho anaitaji mchezaji anaejitolea zaidi uwanjani.
Kweli kabisa kaka,ni sawa na grizman,Ni mchezaji mzuri,lakini anakabika kirahisi sana,Na sisi pale tunahitaji mtu strong na mwenye kashikashi kwenye kukabika.Tunahitaji kaliba ya akina Diego Costa.
 
James ni mchezaji mzuri sana tena wa kiwango cha dunia swali linakuja je anaweza kuingia kwenye mfumo wa Mourinho? Kama mnavyojua Mourinho anaitaji mchezaji anaejitolea zaidi uwanjani.
James ni kama Di Maria,atapata taabu akija England,msimu ujao Mikhtaryan atapata nafasi kubwa kuonyesha kipaji.Griezmann anaweza ku-adapt mfumo wa Simeone ni kama wa Mourinho
 
0e835a34d278ca73e6250d044b5e656c.jpg


Antonio Valencia: Manchester United full-back signs one-year contract extension
 
Mourinho want only one player from Monaco Bakayoko while Pep want Mendy,Silva and Fabinho

Bakayoko ingawa yuko slow lakini ni defensive midifielder mzuri sana. Assume ametua United, maana yake Hererra atapanda 8 then Pogba atacheza kwa uhuru, nahisi huenda tukaiona thamani yake. Tukiwa na center half wa ukweli, winger tereza afu Greaze asumbue kule mbele, lazima EUFA super cup tuchukue asee.
 
Back
Top Bottom