Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

8b90637da02c76300ad5edec9e9363ad.jpg
 
b37e8786edaf1c027cd4ef35b7056b3c.jpg


Manchester United are reportedly eyeing up a summer double swoop for Torino's Andrea Belotti and Atletico Madrid's Antoine Griezmann—which could cost the club up to £170M!
Gud news aiseh bora tufanye usajili wa nguvu ila Belotti xjawahi muona akicheza na clips zake nimeona mzuri ila sio saaana sijui imekaaje hii
 
Man utd wanaviungo mafundi hatarii lakin cha kushungaza timu inapambana kuingia top 4 badala ya ubingwa, wachambuzi Wa soka tuisaidie utd tafadhari
 
b37e8786edaf1c027cd4ef35b7056b3c.jpg


Manchester United are reportedly eyeing up a summer double swoop for Torino's Andrea Belotti and Atletico Madrid's Antoine Griezmann—which could cost the club up to £170M!
hivi vyombo vya habari vya ulaya vinapaswa vituonelee huruma wapenzi wa manchester united, ni kweli timu ina mapungufu ila uvumi mwengine umezidi,
yaani belotti ana thamani ya pound million 84 haliyakuwa hana maajabu yoyote ya kimpira na sijaona tofauti yoyote kati yake na vardy.
ni bora arudishwe chicharito kuliko belotti.

ila ni mtazamo wangu tu nisije nikaambulia lugha yenye kuudhi
 
hivi vyombo vya habari vya ulaya vinapaswa vituonelee huruma wapenzi wa manchester united, ni kweli timu ina mapungufu ila uvumi mwengine umezidi,
yaani belotti ana thamani ya pound million 84 haliyakuwa hana maajabu yoyote ya kimpira na sijaona tofauti yoyote kati yake na vardy.
ni bora arudishwe chicharito kuliko belotti.

ila ni mtazamo wangu tu nisije nikaambulia lugha yenye kuudhi
ivi chicha na griez yupi bora maana hawa wote very good poachers. ...
 
Back
Top Bottom