Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Tatizo la Tuanzebe hapanui uwanja
Na kipgo juuTunakamilisha ratiba
Baada ya kuumia Fosu MensahHii inanikumbusha enzi za Louis Van Gaal tulipigwa tatu bila majibu
Ni kweli Rooney na Carrick waliruka lakini wrong positioning hawakuona ndani. Sidhani Carrick kama ataongezewa mkataba ni mzigo mzitoKiungo Carrick na Rooney unategemea nini