Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Dakika ya 45 ni bila kwa bila
Pogba ni wa kawaida sana mkuu...usiilaumu forward!Forward ya Man inamfanya Pogba aonekane wa kawaida. ingekuwa forward nzuri angekuwa na assists nyingi sana.
Kuna mtu anaitwa Bongonda subiri aingieLeo tunashinda
Pogba ni wa kawaida sana mkuu...usiilaumu forward!
Unataka kuniambia Pogba anacheza vizuri kuliko Mikh na Rashford!??
Anayekwazika usimjibu...hili jukwaa kila mtu yuko huru kutoa maoni yake. Cha maana usitukane.Kama nimemkwaza mtu tusameheane kwenye hili