Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Ni kulinda goli wasifunge
1. Labda kwa kuwa unafungua 'modbro' badala ya 'mobdro'.Wakuu samahan mbona nikifungua app ya modbro kucheki game online inaniandikia no result found ila kipind cha nyuma nilikuwa naangalia game vizur matatzo haya yameeanza toka game ilopita
napingana na ww..man u hata robo kwa huu mpira huwez mfananisha na juve...hawa hawana game plan..hakuna talking pass..wanajiendea na kukipigia pigia tu..ni ngumj kwa mpira huu kuwafunga vigo.....Manutd ni kama Juve ugenini
Ungeniuliza kivipi? Mbona unanivamia?napingana na ww..man u hata robo kwa huu mpira huwez mfananisha na juve...hawa hawana game plan..hakuna talking pass..wanajiendea na kukipigia pigia tu..ni ngumj kwa mpira huu kuwafunga vigo.....
kwa namna yoyote ile hawafanani...endelea tu kutupa update.Ungeniuliza kivipi? Mbona unanivamia?
Chunguza formationskwa namna yoyote ile hawafanani...endelea tu kutupa update.