Jana nilimuelewa sana, ila kwa nemamja suburi kwanzaDamushin and Erick Bailly are now facebok friends.
![]()
mashabiki wanamfananisha na nemanja vidic ila mimi nahisi kitu pekee walichofanana ni ujasiri wao wa kupambana na adui.
bailly ni mtulivu sana na ana skills sifa ambayo uingereza nzima niliiona kwa rio ferdinand.
msimu ujao chini ya jose mourinho kwenye safu ya ulinzi tunahitaji kuongeza shetani mmoja kama kalidou koulibaly.
nashindwa kuelewa kwa nini trump anahangaika kujenga ukuta kule Mexico wakati erick bailly yupo.
Duh! Kweli wewe shabiki wa ManutdYaani afadhali nilipoona red ya Fella nusura nijinyeee![]()
.....leo tulilemewa kwa kweli lakini heri nusu shari kuliko shari kamili,hongereni vijana japo haikuwa nzuri mmejitahid.... GGMU
Kwa majeruhi tuliyonayo hata Pogba angeliambulia kipointi kimojapogba bila kuwepo mipira haikai kwa wachezaji wetu na pia mipira haipandi kabisa..
Fosu Mensah naye jeruhika?Marcos Rojo
Zlatan Ibrahimović
Paulo Pogba
Juan Mata
Chriss Smalling
Phil Jones
Fosu Mensah
Majeruhi wanaongezeka tu
Teh! Teh! Teh! Bailly ndiyo habari ya mjiniDamushin and Erick Bailly are now facebok friends.
![]()
mashabiki wanamfananisha na nemanja vidic ila mimi nahisi kitu pekee walichofanana ni ujasiri wao wa kupambana na adui.
bailly ni mtulivu sana na ana skills sifa ambayo uingereza nzima niliiona kwa rio ferdinand.
msimu ujao chini ya jose mourinho kwenye safu ya ulinzi tunahitaji kuongeza shetani mmoja kama kalidou koulibaly.
nashindwa kuelewa kwa nini trump anahangaika kujenga ukuta kule Mexico wakati erick bailly yupo.
Fosu Mensah naye jeruhika?
Aliumia begaFosu Mensah naye jeruhika?
Hizo dakika cheche duhNdio kadislocate bega lake.
Habari njemaPaul Pogba will miss Manchester United’s game with Swansea City but should return for the [HASHTAG]#UEL[/HASHTAG] SF, 1st leg at Celta Vigo [HASHTAG]#SSFootball[/HASHTAG]