Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fellaini
0a05bb8a2df38f58eecc5bd3b922fa31.jpg
 
Tumepata matokeo yaliyolingana na malengo Yetu na mipango Yetu leo uwanjani,Mou leo hakutaka tucheze mpira,hakutaka tushambulie,game plan ni Ushindi kama zitatokea chance au dro na tumefanikiwa katika hili.

Ila Mou angeanza na kikosi kama tulichocheza na Chelsea,hawa City ni wazi to mno na wamechoka
 
Tumepata matokeo yaliyolingana na malengo Yetu na mipango Yetu leo uwanjani,Mou leo hakutaka tucheze mpira,hakutaka tushambulie,game plan ni Ushindi kama zitatokea chance au dro na tumefanikiwa katika hili.

Ila Mou angeanza na kikosi kama tulichocheza na Chelsea,hawa City ni wazi to mno na wamechoka
Kikosi kilichoanza na Chelsea ni kipi?
 
Back
Top Bottom