Huu mwaka ambao the worst Man U inashinda inaonyesha ni kwa jinsi gani Arsenal (Mtibwa), Chelsea (Moro United) walivyo hovyo kabisa..........hongereni sana mashetani wekundu.......
chicharito is a natural striker. Anajua position za kukakaa na hiyo speed aliyonayo mabeki watapata tabu akizoea ligi vizuri. We ngoja next season lazima atakuwa top scorer of the season.
Manchester United boss Sir Alex Ferguson says he is sure his team will win the Premier League title next Saturday after beating rivals Chelsea.
Knowing the players they won't muck it up," said Ferguson. "They will get a point there's no doubt about that.
"It's fantastic to be the most successful team in the country."
Winning the Premier League this season would be Ferguson's 12th title since he joined the club in 1986 from Aberdeen.
"The minute we won that first title in 1992 the door opened, and we've been involved in the first two all throughout that period - it's a fantastic achievement.
Tena gamba lenyewe walilojivua lina sumu bado,wamepigwa bao 3 kwa 1,kweli mzee wa uchumi anahitaji kubadili aina na mfumo wake wa uchezaji la sivyo timu itakuwa inashiriki tu mashindano lakini si kwa lengo la kushinda
Huu mwaka ambao the worst Man U inashinda inaonyesha ni kwa jinsi gani Arsenal (Mtibwa), Chelsea (Moro United) walivyo hovyo kabisa..........hongereni sana mashetani wekundu.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.