Newfame
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 485
- 1,134
Sahihi mana cha pili ni wao kuizuia Man united uzuri sisi tuna Viungo wazuri kupenya ngome yao,acha tuone mabadiliko ya mfumo.Hawa city wakishindwa kutufuna kipindi cha kwanza game imekula kwao
Sahihi mana cha pili ni wao kuizuia Man united uzuri sisi tuna Viungo wazuri kupenya ngome yao,acha tuone mabadiliko ya mfumo.Hawa city wakishindwa kutufuna kipindi cha kwanza game imekula kwao
Kweli mkuu mikhy leo hayupo katika form nzuri au mfumo leo umemfanya awe hivyo?Wapo vizuri na ni mfumo ambao Mou anataka leo tucheze na ndio mana unamuona he is happy with the game, anawamaliza kipindi cha pili now ni 4 33 ila kipindi cha pili tunaweza kucheza 4 4 2 kwa kumuingiza lingard.
Mikh leo hayupo uwanjani kabisa,na Fellain anapoteza sana Mipira kirahisi.
Rashford naona na yeye leo kapewa mtu atembee naye kama ulivyokuwa kwa Herera na Hazard.
kuzuia point moja kwa maana ya Droo,lakini wakikaa vibaya tunawapiga,ni game Tactics kumbuka Man City yupo nyumbani na ametoka kufungwa game Karibia mbili so Mou amejihashari lakini sasa hana cha kupoteza.Siku ya Chelsea tulicheza lakini leo mkakati sijaujua hata chembe
tatizo sio kuwepo kwa Pogba,tatizo ni mfumo,hayo ndio maelekezo waliyopewa na KochaBila shaka umeona umihumi wa Pogba.
Na ndio kinachoenda kufanyika sasa,kuna mabadiliko ya mapema sana naona leoUkweli kujihami ni sawa kwa kipindi cha kwanza lakini kipindi cha pili ni kuwashambulia tu na kuwafunga hakuna jinsi
Mfumo kaka,Muangalie Mou,yupo comfortable,wangekuwa wanacheza tofauti ungeona reactions zake mapema.Kweli mkuu mikhy leo hayupo katika form nzuri au mfumo leo umemfanya awe hivyo?
Rashford anachezewa rafu za wazi anaacha tu.Refa kafail huyu