Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Manutd leo sijui wakoje?
Kama mi ndo mou pogba hata angekuwa mzima asingecheza
Kuna watu hawaoni umuhimu wa mtu kwasababu hawampendi tu.Bila shaka umeona umihumi wa Pogba.
Wapo vizuri na ni mfumo ambao Mou anataka leo tucheze na ndio mana unamuona he is happy with the game, anawamaliza kipindi cha pili now ni 4 33 ila kipindi cha pili tunaweza kucheza 4 4 2 kwa kumuingiza lingard.Manutd leo sijui wakoje?