Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sahihi kabisa,Blind anamapungufu mengi akicheza namba 4,kuliko namba 6,na kwa kuwa Rojo ni majeruhi na hatuna mbadala wake,moja kwa moja Blind anapata nafasi so leo anatakiwa kuwa makini sana hasa kwenye counter attack,City Wana Watu wazuri na wepesi kwenye nafasi za ushambuliaji.

Saa nyingine natamani leo Carrick acheze full back akisaidiana na Baily kama namba 4 wake.

Mbele tukaweka Viungo na washumbuliaji Wenye kasi Zaidi.
Pamoja sana
 
Screenshot_2017-04-27-15-02-36.png
 
kwa mfumo na aina ya mpira na wachezaji/Viungo waliopo pale united kwa sasa,Chicharito atatufaa Zaidi kuliko Griezman.

Nitafurahi Zaidi tukimsajili Chicharito mana tunaenda kutengeneza mchezaji mkubwa Mwingine ambaye vilabu vikubwa vitamgombania kama ulivyokuwa kwa CR7


Ingawa Griezman ni Fundi by nature.
28yrs???
 
Smalling na Jones huenda wakajikuta Mourhnio anawatupia virago vyao kisa kuumia mara kwa mara na kujikakamua na kucheza huku wakiumwa
 
Superb Herrera

The stats show he has made more tackles and more interceptions than any other United player this season, but he also ranks top for assists. Indeed, while Paul Pogba's injury absence is an undoubted blow for Thursday's return game with City, Herrera has arguably been more important.

His impressive display against Chelsea was not the first time he has starred against one of the top teams this season. Back in October, when United travelled to Anfield to face a Liverpool side who had scored 26 goals in their first nine games of the campaign, Herrera was instrumental in securing a goalless draw.

As well as making seven tackles - more than anyone else on the pitch - there were 10 interceptions - the most by any player in a single Premier League game all season. Jurgen Klopp's side dominated possession, but finding a way past Herrera was a different question.

It was a similar story for Tottenham two months later. Herrera was relentlessly energetic alongside Michael Carrick in the 1-0 win, stealing possession repeatedly and covering more ground than any of his team-mates. Crucially, he also had the technical quality to set up Henrikh Mkhitaryan's winner with an incisive pass between Victor Wanyama and Jan Vertonghen.

Even in United's meeting with Arsenal at Old Trafford in November, a game which ended with a frustrating late equaliser from Olivier Giroud, it was Herrera who dominated the midfield, and it was he who set up the Juan Mata goal that seemed to be sending United to victory.
 
Ningependa Tuanzebe aanze badala ya Blind lakini nimjuavyo Mourhnio hilo haliwezekani labda mtu atumie vinginevyo uzoefu utaongoza

Mkuu Tuanzebe ni mzuri, ila hana match fitness. Blind kwa kweli ananipa wasiwasi saan leo, lakin afadhali yeye kidogo. Game ya leo naogopa hata kwenda kuangalia maana huku nyuma sio kabisa, na Baily anavyojua kupanic tukifurushwa mapema. Anyways lolote laweza kutokea
 
Mkataba wake unakipengele cha yeye kucheza dakika zote anapokuwa fit na Evaluation yake itafanyika baada ya msimu mmoja.

Hope mwakani asipojituma na kuonyesha thamani yake basi bench litamuhusu kama tutafanya usajili mwingine katika nafasi yake,now hana mbadala ndio mana anakata viuno tu uwanjani.

Pogba ni mchezaji mzuri sana Zaidi tunavyomjuwa,namfatilia toka akiwa kinda United pale na mafanikio yake kule Juve lakini sijajuwa nini tatizo tangu aje United ameshindwa kuonesha kipaji chake halisi.

Ila ni Fundi hasa dimbani hasa akiwa dimba la Juu nyuma ya washambuliaji.

Daah Pogba anakata viuno uwanjani?
 
Back
Top Bottom