Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Niambie gemu ambazo hakucheza zlatan tulipoteza point ngapi, mi naona gemu ambazo hakuepo ndo tulichukua point 3 kirahisi, ishu sio kafunga magoli mangapi, ishu ni katengenezewa nafasi ngapi za wazi kapoteza, kama asingekuepo naamini tungekua tunaongoza ligi
Ahahah kuongoza ligi? Hauwezi kuongoza ligi uku hauna wachezaji wa kufunga magoli. Angalia jinsi wachezaji wa Spurs wanavyofunga magoli. Lazima kuwe na uwiano mzuri wa magoli kwa washambuliaji wetu. Zlatan kafanya makubwa na sio wakubeza.
 
Ahahah kuongoza ligi? Hauwezi kuongoza ligi uku hauna wachezaji wa kufunga magoli. Angalia jinsi wachezaji wa Spurs wanavyofunga magoli. Lazima kuwe na uwiano mzuri wa magoli kwa washambuliaji wetu. Zlatan kafanya makubwa na sio wakubeza.
Sio kweli kwamba lazima kuwe na uwiano, jukumu la kufunga magoli ni la mshambuliaji wa mwisho zlatan hao wengine ni wakumsaidia tu ikitokea chance, lakini jukumu kubwa ni lake na walio nyuma yake wanatimiza wajibu wao vizuri kwa kumtengenezea nafasi, lakini anashindwa...
Nipe uwiano wa magoli wakati tuna van pasie na waliomzunguka. Usikariri kwa kuwaangalia spurs, yale yatokea mara chache kwenye timu kutokana na mfumo wa timu
 
Sio kweli kwamba lazima kuwe na uwiano, jukumu la kufunga magoli ni la mshambuliaji wa mwisho zlatan hao wengine ni wakumsaidia tu ikitokea chance, lakini jukumu kubwa ni lake na walio nyuma yake wanatimiza wajibu wao vizuri kwa kumtengenezea nafasi, lakini anashindwa...
Nipe uwiano wa magoli wakati tuna van pasie na waliomzunguka. Usikariri kwa kuwaangalia spurs, yale yatokea mara chache kwenye timu kutokana na mfumo wa timu

Nenda ukangalie uwiano wa magoli ya RVP na Rooney,Cole na Yorke,CR7 na Rooney,Rooney na Babertov.
 
Kuumia kwa Ibra ni nafasi ya Rashford kuonyesha vipaji vyake ndani ya no. 9
Kweli kabisa mkuu, kijana akijituma na kutulia anapopata nafasi anaweza kuwa asset kubwa sana kwetu. Pia ni nafasi kwa Wazza kutupnyesha kama kuna kilichobaki au tumruhusu aende China/Marekani
 
Hopeless kweli hawa, bora tukarudie highlight yetu kipenzi ya man utd vs chelsea kuliko kuwaangalia wao. Haha
Hahahhaha mimi hata youtube naitafuta now now inisuze moyo!!.... wameniudhiii kweli hawa spurs!, na sisi tuje tuwafunge tu hivi virent boyz wacha viwe vishindi hamna namna, maana mechi hii ilikuwa yao full squad,wametawala game,vimakosa vyao vimewakost wameshindwa kunilipia kisasi sasa adhabu yao EPL tuwatandike nyingi nyingi wakome!! hahahhahahaha ......
 
Hahahhaha mimi hata youtube naitafuta now now inisuze moyo!!.... wameniudhiii kweli hawa spurs!, na sisi tuje tuwafunge tu hivi virent boyz wacha viwe vishindi hamna namna, maana mechi hii ilikuwa yao full squad,wametawala game,vimakosa vyao vimewakost wameshindwa kunilipia kisasi sasa adhabu yao EPL tuwatandike nyingi nyingi wakome!! hahahhahahaha ......
Suuza moyo wako, wanasema raha jipe mwenyewe tukikutana nao siku hizi wanakaza msuli, lkn naamini tutawatandika. Wale goli 2 and above heshima irudi.
 
Rojo na Ibra musimu umekatika majeraha yao mpaka musimu ujao. Hawatacheza tena musimu huu!
 
Back
Top Bottom