Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2017-04-22-23-13-49.png
 
Fellaini sasa ni kifaa muhimu musimu huu kesha cheza mechi 41 kwa mashindano ya aina zote Manutd kacheza na jinsi majeruhi wanavyozidi atacheza zaidi na kusaidia top four finish kupatikana
 
Tangia wasikie tunamsaka kumsajili Antoine Griezmann hawa ManCity nao eti wanamhitaji
 
Hahahhaha mimi hata youtube naitafuta now now inisuze moyo!!.... wameniudhiii kweli hawa spurs!, na sisi tuje tuwafunge tu hivi virent boyz wacha viwe vishindi hamna namna, maana mechi hii ilikuwa yao full squad,wametawala game,vimakosa vyao vimewakost wameshindwa kunilipia kisasi sasa adhabu yao EPL tuwatandike nyingi nyingi wakome!! hahahhahahaha ......
Everlenk Mpira siyo kama unavyodhania . Kumfunga chelsea goli 2 haimanishi kufungwa n.a. Spurs. Unajua ukiweka mahaba kwenye timu fulani lazima utoke n.a. aibu n.a. ndo iliyowatokea washabiki wote wa manure, Arsenal na looserfool. Hawa wote wanajua mziki wa Chelsea. By the way naamini hata ukikutana na Chelsea Leo humfungi tena. Labda ukishinda draw. Tukutanane next season leo huna chako Fa Cup n.a. Epl.
 
Everlenk Mpira siyo kama unavyodhania . Kumfunga chelsea goli 2 haimanishi kufungwa n.a. Spurs. Unajua ukiweka mahaba kwenye timu fulani lazima utoke n.a. aibu n.a. ndo iliyowatokea washabiki wote wa manure, Arsenal na looserfool. Hawa wote wanajua mziki wa Chelsea. By the way naamini hata ukikutana na Chelsea Leo humfungi tena. Labda ukishinda draw. Tukutanane next season leo huna chako Fa Cup n.a. Epl.
mashabiki wa arsenal ni maadui wakubwa sana wa Tottenham, mechi yoyote ambayo Tottenham anacheza lazima wawe upande tofauti, haijalishi ni Chelsea, Manchester, liverpool, Bayern, Bvb, madrid au Barcelona.

Actually mechi ya jana mashabiki wa arsenal walikua chelsea
 
Back
Top Bottom