Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anderlecht XI vs. Man Utd: Rubén; Appiah, Mbodji, Spajic, Obradovic; Tielemans, Dendoncker, Hanni; Chipciu, Teodorczyk, Acheampong.
 
525c3cbb2c280609490e769efe2477e5.jpg

GGM
 
Man United tunashinda Hii match ya leo. 3 - 1

Nimekiona kikosi cha awali,sijajua kwanini leo Mou hamuanzishi Ander Herrera.

Mfumo wa leo pia?

Kiungo cha Carrick,Show na Pogba naona timu ikipunguza kasi katika eneo la kiungo ikitumia sana mawinga
 
Man United tunashinda Hii match ya leo. 3 - 1

Nimekiona kikosi cha awali,sijajua kwanini leo Mou hamuanzishi Ander Herrera.

Mfumo wa leo pia?

Kiungo cha Carrick,Show na Pogba naona timu ikipunguza kasi katika eneo la kiungo ikitumia sana mawinga

Herrera anaitaji mapumziko kwa kazi aliyoifanya jumapili halafu Herrera hana stamina kama ya Pogba.
 
Mabeki Wa anderlect wakae mguu sawa.. Huku mkhi..kule Rashid, katikati abrakadabra
 
Mo anakapenda haka Ka Lingard sjui kwann, nataman anavompa nafaa Lingard ampe na Martial hvo hvo
 
Mabeki Wa anderlect wakae mguu sawa.. Huku mkhi..kule Rashid, katikati abrakadabra
Kama Rashford atakuwa katika kiwango cha game ya Chelsea na Miki akiwa katika fomu yake katika game hizi za Europa basi shughuli itakuwa pave,naomba Utulivu kwa Lingard
 
Jamani tunaomba zile updates wengine tupo sehem mbaya hakuna uwezekano wakuona live please tunawaomba.
 
[QUOTE="Rutashubanyuma, post: 20702643, member:

Tunaomba updates na Leo, tunakutegemea mdau
 
[QUOTE="Rutashubanyuma, post: 20702643, member:

Tunaomba updates na Leo, tunakutegemea mdau
 
Back
Top Bottom