Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo ni leo, nilifua jezi yangu ya manchester ili nivae tutakapoenda kuwasulubisha wanaojifanya wajuaji wa chelsea, ila na hii mvua haijakauka hivo nimeianika nyuma ya fridge.
Hureeee viva manchester na mashabiki wake dunia nzima. lazima tuwatoe kamasi hawa mabwana wadogo leo.Hureee uwanja wa nyumbani jamani


miminiko bwawa la maini, tumefuli, ila leo nataka nikaone nani ni nani.....
 
Code:
Leo ni leo, nilifua jezi yangu ya manchester ili nivae tutakapoenda  kuwasulubisha wanaojifanya wajuaji wa chelsea, ila na hii mvua  haijakauka hivo nimeianika nyuma ya fridge.
Hureeee viva manchester na mashabiki wake dunia nzima. lazima tuwatoe  kamasi hawa mabwana wadogo leo.Hureee uwanja wa nyumbani jamani

you will never walk alone gaga on this one.........
 
Mpira umeanza naona...leo droo or win enough kwetu
 
Cha kwanza hicho leo tunahesabu tu......mpaka zifike nne....
 
Dakika ya kwanza man u 1 chelsea 0..Javier Hernandez kaweka mpira wavuni!
 
Yani match of the season mmeshindwa kuiwekea jukwaa tujumuike pamoja wakuu?


Anyway naona kale katoto kanachopenda sifa kamefanya kazi.
 
Yani match of the season mmeshindwa kuiwekea jukwaa tujumuike pamoja wakuu?


Anyway naona kale katoto kanachopenda sifa kamefanya kazi.

Kabisa mkuu nadhani ingekuwa powa zaidi tungechangia jukwaa moja....ila ndio hivyo dogo kaweka namba moja tayari bila tatizo kabisa......
 
Tukatane tuvunjeni lakini tunahitaji ushindi haha
 
Back
Top Bottom