Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

17904186_1489715864412337_2287168538990198561_n.jpg
 
Juan Mata hii operesheni ya ngiri sijui hataonekana uwanjani hadi musimu ujao. Ni pigo kubwa lakini ni nafasi kwa makinda kujizolea umaarufu
 
Martin Keown yule beki wa zamani wa Arsenal anatuombea mabaya eti tufungwe kesho mbili moja.

Anadhani itawasaidia Arsenal kusaka top four finish asilojua kesho dua lake Mwenyezi Mungu kaligeuza na Chelsea ndiye anafungwa mbili moja
 
Mpira kuanza ndani ya dakika moja
Spurs na Bournemouth na sare siyo matokeo mabaya kwetu kwa pande mbili
 
Back
Top Bottom