Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Van Gaal alishaishia hatuko naye na ni mstaafu na Schneiderlin hatuko naye yuko Everton lakini Schneiderlin bado ana donge na Van Gaal kisa adai alimgeuza Robot.

Hii inatokana na kumtaka acheze kiana fulani na kuficha au kufunika vipaji vyake
 
Screenshot_2017-04-09-12-14-14.png
 
Moyes adai kwa Mourhnio kushinda angalau kikombe kimoja kumempa ulaini wakati yeye kipindi chake kifupi cha ukocha Manutd alitolewa kwa peneti na Sunderland na aamini kama angelishinda lile kombe ambalo Mourhnio alilishinda pengine naye angeliongezewa muda.

La kuongezewa sina uhakika nalo tukizingatia timu haikuwa in acheza vyema hata punje moja
 
Kama ratiba inavyojieleza mechi ni saa tisa unusu jioni ya leo hivyo usikose

Sunderland v. Manutd
 
Ninatarajia malalamiko ya ubutu wa timu leo utawapa changamoto na mvua ya mabao tutarajie
 
[HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG] XI vs Sunderland: Romero, Darmian, Bailly, Rojo, Shaw, Fellaini, Herrera, Pogba, Lingard, Mkhitaryan, Ibrahimovic

Captain Big fella
 
Mkubwa fella leo kavaa kitambaa.. Naamini atajituma maradufu!
 
MUFC subs: Martial, Carrick, Blind, Rashford, Fosu-Mensah, Tuanzebe, Pereira.
 
nahisi nimelala naota ndoto ya kutisha sana, how and how fellain anavaa kitambaa?????
 
Back
Top Bottom