Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Ni kweli!
Una uongo mwingi sana blaza, mfano ulivyokuwa unafanya comparison ya rooney na ibra.Umeniona kwenye jukwaa lolote nikiishabikia timu yoyote zaidi ya hii? Tatizo lenu mnadhani ukiwa shabiki wa timu flan huwezi kuiongelea -ve timu yako, huo ndo tunauita ushabiki maandazi. Mimi siko hivo mjomba, ikifanya vizuri naisifia na ikiboronga nasema pia
Utd hii ni pasua kichwa na wala hamna timu ya ushindani pale
Wewe ni mpumbavu, sasa huo ni uongo au ni mtazamo wangu?Una uongo mwingi sana blaza, mfano ulivyokuwa unafanya comparison ya rooney na ibra.
Confirmed squad for today: De Gea, Romero, Pereira, Valencia, Darmian, Bailly, Rojo, Tuanzebe, Fosu-Mensah, Carrick, Willock, Fellaini, Lingard, AY, Miki, Rooney, Martial, Rashford
mata anaweza akakosa mechi zote za msimu zilizobaki, ndio maana Willock kaitwa kuziba nafasi yake
Wee ni punguani wahed blazaWewe ni mpumbavu, sasa huo ni uongo au ni mtazamo wangu?
He deserves
Sasa wewe sio shabiki wa Man United.. Kwenye hii thread umefata nn..mnatakiwa mrudi nafasi yenu ya sita leo, tumechoka kelele zenu
ILA HZO SUB DUUUHUshindii upooo
Amejitoa sanaHe deserves
Ndio wale wale wa arsenalSasa wewe sio shabiki wa Man United.. Kwenye hii thread umefata nn..
Kazi ipo
Yaan we acha tu tuombe mungu
Timu ni nzuri kulingana na mazingira ya majeruhi