Khe khe khe khe khe kheeeeeeIts Well.... GGMU
Ding dong!!!Kuna uhaba wa marefa watakaoweza kuchezesha mechi kubwa. Kila refa ni mbovu ila uyu wa leo kaendeleza bifu lake.
Kadi 4 nyekundu ndani ya miaka mitatu.
Ding dong!!!
Marefa wanawabeba halafu mnalalamika. Mngebaki nane ndo sijui mngesemaje kaeni kimya bana hamkuwa na uwezo wa kutufunga.
Tangu 2012 mmetufunga mechi tatu tu kati ya 20...go figure that out muache makelele mna bore sasa!!!!
Kwahiyo nawe unaona Chelsea nayo ni timu kisa MUFC hajakufunga since 2012.Ding dong!!!
Marefa wanawabeba halafu mnalalamika. Mngebaki nane ndo sijui mngesemaje kaeni kimya bana hamkuwa na uwezo wa kutufunga.
Tangu 2012 mmetufunga mechi tatu tu kati ya 20...go figure that out muache makelele mna bore sasa!!!!
Sikitegemea kukisoma hichi kutoka kwakoCha kujivunia mechi iliyopita kwenye uwanja huu huu tulifungwa NNE leo twafungwa na refa siyo Chelsea
Hii haikuwa n.a. umuhimu.? Sema bahati haikuwa yenu acha visingizio mkuuRefa kàamua matokeo ....pamoja na kwamba tumefungwa na kutolewa ,vijana wamejitahidi sana aise ....tuangalie mechi ya alhamic ndiyo ya mhimu zaidi
Kumbe furaha yako ni rafu aliyokuwa anacheza Rojo.....Jana mlikuja kucheza rafu n.a. si kushindanaJapo tumetolewa ila leo nimekubali sana kiwango cha rojo!! huyu jamaa anafaa sana pale nyuma!! Degea nae ameonyesha uimara sana!! ni ukweli usiopingika kwamba leo tumeweza wazuia hawa jamaa!! kila nikikumbuka zile 4, naona kabisa gemu ya leo tumejitahidi sana!! tutakutana nao tena ligi kuu....TUTAWANYOOSHA HAKYANANI!!
Chelsea wa kawaida sana,Kumbe furaha yako ni rafu aliyokuwa anacheza Rojo.....Jana mlikuja kucheza rafu n.a. si kushindana
Karibuni sana mpate hukumu yenu mujarabuMtajibeba na bado tunakuja OT