Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna uhaba wa marefa watakaoweza kuchezesha mechi kubwa. Kila refa ni mbovu ila uyu wa leo kaendeleza bifu lake.
Kadi 4 nyekundu ndani ya miaka mitatu.
Ding dong!!!

Marefa wanawabeba halafu mnalalamika. Mngebaki nane ndo sijui mngesemaje kaeni kimya bana hamkuwa na uwezo wa kutufunga.

Tangu 2012 mmetufunga mechi tatu tu kati ya 20...go figure that out muache makelele mna bore sasa!!!!
 
Ding dong!!!

Marefa wanawabeba halafu mnalalamika. Mngebaki nane ndo sijui mngesemaje kaeni kimya bana hamkuwa na uwezo wa kutufunga.

Tangu 2012 mmetufunga mechi tatu tu kati ya 20...go figure that out muache makelele mna bore sasa!!!!

Naona umechanganyikiwa,kama hauna la kuongea bora ukafunga mdomo.
 
Ding dong!!!

Marefa wanawabeba halafu mnalalamika. Mngebaki nane ndo sijui mngesemaje kaeni kimya bana hamkuwa na uwezo wa kutufunga.

Tangu 2012 mmetufunga mechi tatu tu kati ya 20...go figure that out muache makelele mna bore sasa!!!!
Kwahiyo nawe unaona Chelsea nayo ni timu kisa MUFC hajakufunga since 2012.

Timu yako ni ya kawaida sana kama St Etienne
 
cf1166c2afb8e66c29d7bd56763820b3.jpg
 
Refa kàamua matokeo ....pamoja na kwamba tumefungwa na kutolewa ,vijana wamejitahidi sana aise ....tuangalie mechi ya alhamic ndiyo ya mhimu zaidi
Hii haikuwa n.a. umuhimu.? Sema bahati haikuwa yenu acha visingizio mkuu
 
Japo tumetolewa ila leo nimekubali sana kiwango cha rojo!! huyu jamaa anafaa sana pale nyuma!! Degea nae ameonyesha uimara sana!! ni ukweli usiopingika kwamba leo tumeweza wazuia hawa jamaa!! kila nikikumbuka zile 4, naona kabisa gemu ya leo tumejitahidi sana!! tutakutana nao tena ligi kuu....TUTAWANYOOSHA HAKYANANI!!
Kumbe furaha yako ni rafu aliyokuwa anacheza Rojo.....Jana mlikuja kucheza rafu n.a. si kushindana
 
kwa ubovu niliouona kwa man u sitashangaa kupigwa tena ot, timu inawachezaji wa kawaida kabisa wasioweza kubadili matokeo
 
Back
Top Bottom