Haswaaa na hicho ndicho nikionacho leo wote wazee wa kazikazi labda pogba nae atuletee showoff zakeHapa pamkaa pouwa! ...
Inabidi leo tucheze staili ya Inter milan ya mourinho ilyochukua ndoo ya Eufa...!
Marking aianzie golini mwa chelsea kabisa..
Yaani leo pogpa anatakiwa aache mistake zake za kupoteza mipira...Nafasi ya kati chelsea wapo vizuri sana herrera na carrick na pogba wanatakiwa wapige mpira mwingi sana,la sivyo hali itakuwa ngumu..
Show game ni mbaya sana leo...!Haswaaa na hicho ndicho nikionacho leo wote wazee wa kazikazi labda pogba nae atuletee showoff zake
Ila mkuu tuache utani naiogopa chelsea ya sasa kulliko hata barcaShow game ni mbaya sana leo...!
Tena inatakiwa tuepuke goli la mapema...

Wana consistent nzuri sasa hivi...! Kitu ambacho sisi hatuna...Ila mkuu tuache utani naiogopa chelsea ya sasa kulliko hata barca![]()
![]()
![]()
![]()


nilimuona lakin mou hawez mpanga leo.... mbele kuna mikki mata na fellainiYoung ni potential sana,anasaidia kukaba pia krosi zake zina macho.Kwan hujaangalia gemu zilizopita alivocheza vizuri?
duh hii defence ni hatare
Ila najiuliza kati ya Mkhtaryan / Young na Fellain ni nani yuko potential kuwa frontline...?
Nahisi kama mkhtaryan ni potential zaidi...
Why?
Fellaini anaweza anaweza kudenfense zaidi kuliko mkhitaryan...
sahihi kbs mkuuKikosi changu cha leo.
De Gea
Valencia
Bailly
Rojo
Shaw
Carrick
Herrera
Pogba
Fella
Mata
Micki
Kwa hiki kikosi sioni chelsea wakitoka salama.
Turn it upside down!CFC 3-1 Man U, FA today!