matyhans
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 611
- 403
dah same to me aseeTunasuluhu maana jicho lanicheza kishenzi
dah same to me aseeTunasuluhu maana jicho lanicheza kishenzi
Mkuu mnaambiwa kutokana na sheria ilivyo saivi Za FA no replays yaani hamna marudiano lazima mmoja wapo ashindedah same to me asee
MUFC anashinda mbn lipo wazi hilo aseeMkuu mnaambiwa kutokana na sheria ilivyo saivi Za FA no replays yaani hamna marudiano lazima mmoja wapo ashinde
yap mkuuTusubiri tu mipango ya morinho najua hawezi kutuangusha leo ..!!!
Fellaini to replace IbrahimovicTusubiri tu mipango ya morinho najua hawezi kutuangusha leo ..!!!
hamna nmna maana Rashford hayuko poa
Mkuu Rooney,martial,Rashford,na zlatan wote leo hawachezi hebu tujipangie kikosi kizima kitakavyokuwa pale mbele ila nina imani na Morinho badohamna nmna maana Rashford hayuko poa

mbele kuna mikki, mata na fellainiMkuu Rooney,martial,Rashford,na zlatan wote leo hawachezi hebu tujipangie kikosi kizima kitakavyokuwa pale mbele ila nina imani na Morinho bado![]()
![]()
![]()
Ila kumbuka tusimtegemee sana Mick ndo juzi tu katoka injury na gemu ya mwisho alitolewa asicheze full time na huyo felaini mi sijui..mbele kuna mikki, mata na fellaini
Fellaini huwa anakuwa na homa za msimu sasa sijui leo kaamkaje, Then Mikki atasaidiwa na LingardIla kumbuka tusimtegemee sana Mick ndo juzi tu katoka injury na gemu ya mwisho alitolewa asicheze full time na huyo felaini mi sijui..
kuwa na amani tele mkuuLeo sina amani hata kidogo
Confirmed felain ndo atakuwa Main striker huku pembeni wakicheza akina mick,mata lingard