Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu Havanna naamin Ed hana ushawish mkubwa sana ila uwepo wa Mou utasaidia,, Mou ni kocha mwenye mvuto kias chake,, Ed ni mzuri sana kwa bargaining maana kama sikosei ni mtu wa mahesabu,, ila nadhani kwenye mpira sio kivile na ndo otofaut wake na kna Gill na Ken unapopatikana,, tumewah kuwakosa kna Alcantala, Vidal, Fabrigas, Rodriguez, na hata Renato Sanchez kwa sabab ya ushawishi mdogo wa Ed...
 
Mkuu Herrera hapo ndo kuna utata,, ila sio mbaya sana kama tutachemka basi Griez awe back up,, tim haiwez kujengwa kupitia kwa kna Ibra,, sjajua kama timu itasajili fowad wa maana Ibra atacheza wap,, na sjui kama atakubali kuwa mtu wa benchi,,,, binafsi naamin mechi nyingi msimu huu,,ama tultoka sare,, kupoteza ama ushindi wa bao 1 sabab ya kukosa mshambuliaji makini mwenye uwezo na uchu wa mabao,,.. Sikatai Ibra ni world class,, ila naamin kila kitabu na zama zake ndio maana simwoni wazza akisalia OT,, na ndio maana dinyo aliamua kuondoka barca kuwapisha kna messi,,,, Try Dyabala mr. Woodward

Kuna habari jana zilitoka zinasema Plan B ni Harry Kane kama wakimkosa Griezman.
 
Makatheboy unafikiri Woodward ananguvu kubwa kama Peter Kenyon au David Gill? Huyu jamaa muda mwingine huwa naona hana nguvu ya ushawishi

Kweli Woodward ni mbovu katika kushawishi wachezaji ila kwenye suala la Marketing uyu jamaa ni Genius. Kwenye suala la usajili nadhani Mou ataachiwa kazi ya kushawishi wachezaji kama alivyofanya kwa Micki na Ibra.
Simu ya Mourinho ni ngumu kuikataa.
 
Kuna habari jana zilitoka zinasema Plan B ni Harry Kane kama wakimkosa Griezman.
Mkuu totaly huwa simkubali sana Kane,, though sio mmbaya, nikiangalia washambuliaj waliopita kwa mbaali wanaendana na Chicha, Van Nisteroy labda na Berbatob,,.. Ila sio kama Wazza, CR7, Tevez, RvP na hata bwana mdog Rash,, nisingependa tumkose Dyabala ila akikosa bas awe Griez,, Sio Kane mshambuliaj wa Epl tu
 
Mkuu totaly huwa simkubali sana Kane,, though sio mmbaya, nikiangalia washambuliaj waliopita kwa mbaali wanaendana na Chicha, Van Nisteroy labda na Berbatob,,.. Ila sio kama Wazza, CR7, Tevez, RvP na hata bwana mdog Rash,, nisingependa tumkose Dyabala ila akikosa bas awe Griez,, Sio Kane mshambuliaj wa Epl tu

Huwezi kumfananisha Kane na CH14 au Barbatov,uyu jamaa huwezi kumuona kwenye mechi kubwa. Wamecheza na Chelsea hakuonekana,tumecheza nao hakuonekana,wamecheza na Liver hakuonekana. Wakati CH14 au Barbatov ndio zilikua mechi zao za kukupa magoli muhimu.
Harry Kane ni mchezaji ambae hawezi kumpiga beki push akafunga goli au kuruka juu na kuwin aerial duels. Uyu jamaa sitaki kumuona akiwa kwenye uzi wa United.
 
Huwezi kumfananisha Kane na CH14 au Barbatov,uyu jamaa huwezi kumuona kwenye mechi kubwa. Wamecheza na Chelsea hakuonekana,tumecheza nao hakuonekana,wamecheza na Liver hakuonekana. Wakati CH14 au Barbatov ndio zilikua mechi zao za kukupa magoli muhimu.
Harry Kane ni mchezaji ambae hawezi kumpiga beki push akafunga goli au kuruka juu na kuwin aerial duels. Uyu jamaa sitaki kumuona akiwa kwenye uzi wa United.
Hahaha..
 
Uko kama mimi,uyu Harry Kane ni wa ovyo sana hawezi kupambana ili aweze kufunga. Bora Lukaku kuliko uyu Harry Kane.
Kweli Mkuu, wachezaji wa kiingereza wanakua overrated Sana, mbali na griz mou ajaribu kuangalia nje ya England Kuna striker wengi, vijana na wenye hamu ya kutoka.
 
Mkuu Havanna naamin Ed hana ushawish mkubwa sana ila uwepo wa Mou utasaidia,, Mou ni kocha mwenye mvuto kias chake,, Ed ni mzuri sana kwa bargaining maana kama sikosei ni mtu wa mahesabu,, ila nadhani kwenye mpira sio kivile na ndo otofaut wake na kna Gill na Ken unapopatikana,, tumewah kuwakosa kna Alcantala, Vidal, Fabrigas, Rodriguez, na hata Renato Sanchez kwa sabab ya ushawishi mdogo wa Ed...
Akitumia mgongo wa Jose atawin
 
Back
Top Bottom