mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
At last mzee mzima Giggs kafanya kweli....😛lane:
Heri watu wazima kuliko vijana kama diaby
At last mzee mzima Giggs kafanya kweli....😛lane:
wamepunguza kelele uwanjani
Hongera kwa kuzoea matatizo!!
AW tunza vifaa vya CPR mana leo ni salama salimini!!..umeona lakini, tunajiamini kwa sana Maure!!..Hureeee
BELINDA mama umeona huko vijana wanavyofanya kazi???
Tungekuwa sisi hawa jamaa tungewapiga nyingi nyie mlitaki kucheza pasi wakati hamzijui lol.
Tungekuwa sisi hawa jamaa tungewapiga nyingi nyie mlitaki kucheza pasi wakati hamzijui lol.
1st half ilikuwa romance...
2nd half tunakula mzgo kilaaaini....
Naona mkuu!!..yani Manure level nyingine Papizo na vijana wanawajibika!!..safii
Ehh kumbe Raul yumo umu ndan?
Nashangaa hapo wamefikaje kwa mpira huu mbovu wanaocheza alafu nyumbani kwao....
Kwa beki mliyonayo lazima Raul na Edu wangewatundika kama mbili hivi lol!!Tungekuwa sisi hawa jamaa tungewapiga nyingi nyie mlitaki kucheza pasi wakati hamzijui lol.
wakufungwa weshapigwa 2-0Wakuu vipi hapa nani anafungwa? khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee