Karibu first lady wetu wa ukwel...nakwambia kuna shosti anaitwa Michelle kaomba lift na honi anataka kupiga...apa yupo kubadili CD kwa gar....wa wap hyu?, njoo umsute mama...
BJ wa ukweli hana tabia za kusuta...Michelle ni wa Arsenal na Wolves.....lift nimepewa na honi nitapiga na CD nitabadili...vipi leo bundi yuko kwenu nini? manake magoli mliyokosa hata ingekuwa Arsenal yangu ingekuwa nayo 5....l.o.l