Ndi
Ndio game zilivyo tusilaumi sana
Tumeshindwa kuifunga timu iliopoteza 9 straight away games!Torres! Hehehe
Ila amesaidiakuongeza pace ya game
Uchawi wa namba sita...6!!!!Tumeshindwa kuifunga timu iliopoteza 9 straight away games!
Sure mzee kwel pogba ndo alistahili kutoka unamtoa carras el maginifico kabisa unawapa nafasi ya Hull kukuishika midfield unategemea ushinde that's insane my brother mourinhoHapana, hiyo ni mentality za timu ndogo hii game ilitakiwa tushinde tupunguze gap pogba na ibra wapumzike kidogo au wa tokea benchi





well deserve baba n *** uPole sana mkuu, ndio soka lilivyoSijapata kuona ya mourinho mse. Nge sana duh
Timu ilikuwa inahitaji goal hata Carick angebaki hana impact kwenye kutafuta goliSure mzee kwel pogba ndo alistahili kutoka unamtoa carras el maginifico kabisa unawapa nafasi ya Hull kukuishika midfield unategemea ushinde that's insane my brother mourinhowell deserve baba n **** u