Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nakosa imani na hii timu yani Pogba huyu dah. Timu ipo slow mpaka inakera sijui kama kuna ushindi hapa kwa mwendo huu.
 
Yaani mipira ikifika pale mbele, wachezaji wanashindwa hata kujua wafanye nin..
 
Mata na Martial ndio wanaweza badilisha hii mechi.Toa Pogba na Rashford
 
Sioni tatzo jipya la pogba, yuko hivyohivyo game zote tu. Tumekosa ufanisi kwenye attacking midfielding.,

Mata anaweza kutuokoa hii game kama akiingia mapema. Ni mawazo tu.

GGMU.
 
Hivi Mou huwa anatoka mapema anaenda kuwaandalia nini wachezaji? Kahawa?
 
Yaani tukipata nafasi ya kupunguza gap hapo ndio tunaharibu.....!
 
Rashfod yeye na kipa anakosa goli la wazi, hizi nafasi tutazijutia Serious
 
Hii timu inazingua sana aisee yaani attacking we are so poor to be fair,imagine we are at home.
 
Pogba, ibra na rashford hawa watu wanatugharim leo, na pasi kufanya mabadiliko tusitegemee ushind leo yani hull wanacheza kwa kujiamini sana as if wapo home
 
Back
Top Bottom