Yaani kila siku tunavyocheza we deserved to get mo and mo ila bado tu kuna vijambo tukivirekebisha tutafika pazuri tu kujenga ni kazi kuliko kubomoa...... ila best sema tu ukweli kwa hii season hali yetu ilivyokuwa? Halafu ile Liver tuliyokuwa tunatishiwa kwamba sijui ni gegen press(ohh wanaijua wenyewe!!) nikasema haki ya mama tukikutana nayo tutakuwa tunakula 4G kama si 5G!!,unakumbuka sijui ni kombe gani lile walituchapa nne sikupumua siku hiyo,nikajisemea mie everlenk season hii nitauweka wapi uso wangu!!....doooh nikasahau waswahili husema heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wa neno!!!....... tukaze tu buti its not too late to make it,pamoja na changamoto zote tumepitia hata sasa tunasimama tutafika tu tunapotaka..... GLORY GLORY MANCHESTER UNITED.