Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

16114600_1847461382142615_741736408904704870_n.png
 
Hahaha my wish imetimia nawashukur sana Klabu na mashabiki wa man utd.

Ila wacha niseme tu: ile game angeanza mata pale kati badala ya Pogba mngeshinda mapema sana. Mata is way better than Pogba. ametulia sana ana vision ana pass nzuri.

Pogba is good - nisinukuliwe vibaya - ila kwa games za Hull huko. Big games, weka Mata kati uone matokeo. I still miss him...Mata/Silva/Fabregas...my kind of players!!!
Mkuu nakubaliana na ww 100% hata km angefanya sub mapema ya Mata kwa Pogba influence ingenekana mapema pili mata hawezi kufanya utoto km pogba aliufanya uliopelekea penalty game ilikuwa yetu kabisa but all in all sio mbaya
 
Hahaha my wish imetimia nawashukur sana Klabu na mashabiki wa man utd.

Ila wacha niseme tu: ile game angeanza mata pale kati badala ya Pogba mngeshinda mapema sana. Mata is way better than Pogba. ametulia sana ana vision ana pass nzuri.

Pogba is good - nisinukuliwe vibaya - ila kwa games za Hull huko. Big games, weka Mata kati uone matokeo. I still miss him...Mata/Silva/Fabregas...my kind of players!!!
Mata asingefanya chochote pale kati kwa jinsi Klopp alivyopanga timu yake. Klopp amepanga timu kuhakikisha Man Utd hawechezi mpira katikati.

Ndio maana Mourinho alimtoa Carrick na kuwashangaza wengi kumuingiza Big Fella lengo lake lilikuwa ku-bypass midfield na kucheza direct, from then on defense ya Liverpool ilianza kupata pressure na goli lilipatikana kwa style hio direct on your face football.

Inapendeza kuona Mou anaweza kusoma mchezo na kubadilisha approach.

Halafu niki-recall Liverpool kawafunga Arsenal,Chelsea home na Man city kala kipigo wiki iliopita hizo zote ni timu ambazo 'ni bora kuliko sisi' nashangaa mkija hapa kujidai oh man utd should play this and that!
 
Mata asingefanya chochote pale kati kwa jinsi Klopp alivyopanga timu yake. Klopp amepanga timu kuhakikisha Man Utd hawechezi mpira katikati.

Ndio maana Mourinho alimtoa Carrick na kuwashangaza wengi kumuingiza Big Fella lengo lake lilikuwa ku-bypass midfield na kucheza direct, from then on defense ya Liverpool ilianza kupata pressure na goli lilipatikana kwa style hio direct on your face football.

Inapendeza kuona Mou anaweza kusoma mchezo na kubadilisha approach.

Halafu niki-recall Liverpool kawafunga Arsenal,Chelsea home na Man city kala kipigo wiki iliopita hizo zote ni timu ambazo 'ni bora kuliko sisi' nashangaa mkija hapa kujidai oh man utd should play this and that!
Mkuu nimekusoma, wanasema nyani haoni kundule
 
Halafu niki-recall Liverpool kawafunga Arsenal,Chelsea home na Man city kala kipigo wiki iliopita hizo zote ni timu ambazo 'ni bora kuliko sisi' nashangaa mkija hapa kujidai oh man utd should play this and that!

With all respect, nimemuongelea Mata. Bado naamini (na huu ni mtazamo wangu) kuwa ni bora kuliko Pogba.
 
Kama mtazamo wako unataka kila mtu auangalie jinsi unavyotaka wewe usiuweke humu.
No nimekujibu hivyo kwakuwa nimeona umeanalyze game yote ambapo sikufika huko.

So sijakujibu ili ukubaliane nami but ili uone nililenga nini.
 
so" tukusaidie nin sasa au ndio panapwita
Duh mkuu you need to take a chill pill. Dont sexualize kila kitu. Hebu muige basi mwenzako hapo juu (rrondo). Si kila ukitofautiana na mtu basi ukimbilie matusi na kudhalilishana.

Kama nimekukera kaa kimya au jibu kistaarabu.

Dah...
 
Duh mkuu you need to take a chill pill. Dont sexualize kila kitu. Hebu muige basi mwenzako hapo juu (rrondo). Si kila ukitofautiana na mtu basi ukimbilie matusi na kudhalilishana.

Kama nimekukera kaa kimya au jibu kistaarabu.

Dah...
Pissed me off mwana usinitafutie ban
 
Back
Top Bottom