Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,561
Southampton 1 vs 0 Liverpool
Wakuu nipeni matokeo ya liva jana, maana nililala mapema
Duh, asante wakuuSouthampton 1 vs 0 Liverpool
Wamepigwa 1
Manchester united website is the most visited of all clubs in the world above liverpool and arsenal-sky sports
Sasa maombi yangu ni tulibebe tena kombe hili yaani mlango uko wazi,ila tusiwachukulie poa Hawa Hullicty yaani tucheze kama hatutakuja kucheza tena ..... yaani Soton amenipa raha jana acha tu nilikuwa sina access tu ya kuja kushangilia humuGemu ya 15 unbeaten ushind wa 9 mfululizo ktk michuano yote
Ww hapana chezea sisi kabisa![]()
........ gooooooooo on Man U vita ni vita!!!,huku FA,huku Capital huku EPL Mdogo mdogo tutafika...... GGMUSasa maombi yangu ni tulibebe tena kombe hili yaani mlango uko wazi,ila tusiwachukulie poa Hawa Hullicty yaani tucheze kama hatutakuja kucheza tena ..... yaani Soton amenipa raha jana acha tu nilikuwa sina access tu ya kuja kushangilia humu![]()
![]()
![]()
........ gooooooooo on Man U vita ni vita!!!,huku FA,huku Capital huku EPL Mdogo mdogo tutafika...... GGMU
Yaaahhh marudiano yapo bado,nimeedit pale juu nilikosea...... dalili za mvua mawingu bana hawa walishatoka tuwahesabu tu hivyo na wapigwe tu tenaMkuu bado kuna marudiano mkuu...Man utd ataenda kwa Hull city na hao Southampton wataenda kwa majogoo...kwa ushindi wa 1-0 walioupata bado nina mashaka sana kama watapita fainali maana mechi ya marudiano watacheza kwa kulinda goli...
....... ndo maana sisi tusilale yaani hayo marudiano tupambane kama vile fainali...... hope tunalibeba tena kombe hili.fainal tukikutana na liver ndio itanoga zaidiYaaahhh marudiano yapo bado,nimeedit pale juu nilikosea...... dalili za mvua mawingu bana hawa walishatoka tuwahesabu tu hivyo na wapigwe tu tena![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
....... ndo maana sisi tusilale yaani hayo marudiano tupambane kama vile fainali...... hope tunalibeba tena kombe hili.
Baniani mbaya kiatu chake dawa hesabu maombo yako yamefika mahali sahihiJapokuwa siipendi Manchester ila naiombea ushindi dhidi ya liverpul ..ili kuiweka Chelsea katika mazingira mazuri.![]()
![]()
![]()
Yaah jana the saints wangeweza kuimaliza game kuna mmoja alileta mambo ya uchoyo na kupoteza nafasi ila sidhani kama wataenda kuzuia wana mpira wao flan hivi ni khatari sana wale winga zao zinakimbiza balaa .Mkuu bado kuna marudiano mkuu...Man utd ataenda kwa Hull city na hao Southampton wataenda kwa majogoo...kwa ushindi wa 1-0 walioupata bado nina mashaka sana kama watapita fainali maana mechi ya marudiano watacheza kwa kulinda goli...
Wanataka kumuongezea big Fella mkataba....ha ha ha
Kuna shabiki mmoja alisema imekua ni worst news kwake kuliko hata alivyokuta paka wake amekufa asubuhiOfficial fellain has been extended 12 month contract expire, 2018

Hiyo yote ni mbinu ya kibiashara. Team yoyote itakayo muhitaji itabidi itoe dau nono, kutokana na mkataba wake kuwa mrefu .Kuna shabiki mmoja alisema imekua ni worst news kwake kuliko hata alivyokuta paka wake amekufa asubuhi![]()
![]()
![]()
ume wai kumchukia baba na mama yako..?Hakuna timu naichukia kwenye hii dunia kama man u ..huwa siku zote naiombea mabayaa....