Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

15895245_10154392924907746_584517339567434855_n.jpg
duh si kwa kumbato hili.
 
This place should always be scary. DM na LVG walipageuza na kupafanya pawe kama Kunduchi Wet n Wild water park.
Now watu wataanza kuja wakiwa na wasiwasi mwingi.
Yaah hakuna beach ya serikali hapo ni kulipia tu ndio maana unaona mandhali inapendeza
 
Ulishawai kuona shetani likipanda jogoo linavyochinjika ata kwa meno"??? Karibu O.T sisi ni WWWWWWWW tu "ata washushe Gerald,Torres, Hypia, ,suarez.....wanachinjikaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom