Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Top 10 clubs by debt

1. Manchester United - €536m

2. Benfica - €336m

3. Inter - €306m

4. Valencia - €285m

5. QPR - €279m

6. AC Milan - €249m

7. CSKA Moscow - €224m

8. Galatasaray - €222m

9. Juventus - €209m

10. Roma - €208m
 
Top 10 clubs by debt

1. Manchester United - €536m

2. Benfica - €336m

3. Inter - €306m

4. Valencia - €285m

5. QPR - €279m

6. AC Milan - €249m

7. CSKA Moscow - €224m

8. Galatasaray - €222m

9. Juventus - €209m

10. Roma - €208m


Hata marekani yumo kwa mchina lakin ana control dunia
 
Top 10 clubs by debt

1. Manchester United - €536m

2. Benfica - €336m

3. Inter - €306m

4. Valencia - €285m

5. QPR - €279m

6. AC Milan - €249m

7. CSKA Moscow - €224m

8. Galatasaray - €222m

9. Juventus - €209m

10. Roma - €208m

Jiangalie, ukiogopa kudaiwa utakufa masikini...

Haya tuletee data za Club inayoongoza kuingiza pesa ndefu angalau kwa misimu mitatu mpaka sasa
 
Kwa mujibu wa uefa vilabu vinavyooongoza kwa kuingiza mapatu ya kwenye television rights
578118bb10f2bc6033b558d70ec8a098.jpg
 
Wanataka kumuongezea big Fella mkataba....ha ha ha
Mkuu ifike mahali tuwe waelewa, kwanza club imeamua kuongeza mwaka mmoja kwa fellaini ambao ulikua kwenye kipengele cha mkataba wa zamani (4+1) years, yaani hapo club inakua na option ya kukupa huo mwaka au la

Fellaini mkataba wake ulikua unaisha msimu huu, hivyo angekua mchezaji guru, hili lingekua pigo kubwa sana kibiashara kwa mchezaji ambaye bado ana value sokoni

Vilabu mbalimbali vya Italia na hata west ham wanamtaka, kwa huyo ni sahihi klabu kuongeza negotiation power, la sivyo msimu ujao angeondoka Bure

Huu ni uamuzi sahihi asimilia 100
 
Manchester United striker Zlatan Ibrahimovic has been named the Premier League's Player of the Month for December, with Henrikh Mkhitaryan winning Goal of the Month.
Ibrahimovic, 35, scored five goals in six Premier League appearances last month, and also provided three assists as he helped Manchester United towards an unbeaten run of 15 games and nine consecutive wins in all competitions.
He netted in a 1-1 draw at Everton and in a 2-1 win at Crystal Palace before bagging both goals in a 2-0 victory over West Brom. His final goal of December was scored in a 3-1 home win over Sunderland.
No player scored more than Ibrahimovic in the month, whose tally for the season now stands at 13 after he also netted against West Ham on Jan. 2.





na goli moja limekataliwa alilowafunga mido
 
Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa ameachwa katika kikosi cha timu hiyo ambacho kinajiandaa kuumana na Leicester City wikiendi. Chanzo kinatajwa kurushiana maneno na kocha wake Antonio Conte wakiwa mazoezini baada ya kugomea mpangilio wa mazoezi wa fitness coach. Taarifa nyingine zinaeleza Diego Costa anataka kuondoka kuelekea China ambapo amepata dili ya kulipwa paundi 570,000 kwa wiki na klabu ya Tianjin Quanjin. [HASHTAG]#DaudaTransferUpdates[/HASHTAG]
 
Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa ameachwa katika kikosi cha timu hiyo ambacho kinajiandaa kuumana na Leicester City wikiendi. Chanzo kinatajwa kurushiana maneno na kocha wake Antonio Conte wakiwa mazoezini baada ya kugomea mpangilio wa mazoezi wa fitness coach. Taarifa nyingine zinaeleza Diego Costa anataka kuondoka kuelekea China ambapo amepata dili ya kulipwa paundi 570,000 kwa wiki na klabu ya Tianjin Quanjin. [HASHTAG]#DaudaTransferUpdates[/HASHTAG]

Hapo sasa kashaota pembe aongezewe mkia hata mechi ya juzi alizozana na wenziwe uwanjani mapema kabisa hilo ni pigo na nafuu kwa wengine
 
Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa ameachwa katika kikosi cha timu hiyo ambacho kinajiandaa kuumana na Leicester City wikiendi. Chanzo kinatajwa kurushiana maneno na kocha wake Antonio Conte wakiwa mazoezini baada ya kugomea mpangilio wa mazoezi wa fitness coach. Taarifa nyingine zinaeleza Diego Costa anataka kuondoka kuelekea China ambapo amepata dili ya kulipwa paundi 570,000 kwa wiki na klabu ya Tianjin Quanjin. [HASHTAG]#DaudaTransferUpdates[/HASHTAG]

Acha wazikane.
 
Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa ameachwa katika kikosi cha timu hiyo ambacho kinajiandaa kuumana na Leicester City wikiendi. Chanzo kinatajwa kurushiana maneno na kocha wake Antonio Conte wakiwa mazoezini baada ya kugomea mpangilio wa mazoezi wa fitness coach. Taarifa nyingine zinaeleza Diego Costa anataka kuondoka kuelekea China ambapo amepata dili ya kulipwa paundi 570,000 kwa wiki na klabu ya Tianjin Quanjin. [HASHTAG]#DaudaTransferUpdates[/HASHTAG]
Kwa upande wa discipline sijawai kumuelewa Diego Costa ila ni mchezaji mwenye kipaji kizuri
 
Back
Top Bottom