Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Imagine being an arsenal fan. Tinpot club who's fans happy to brag about annual 4th place. Took them 13 years to go from 4th to 2nd lmaoooo
 
Arsenal wanafanya kila wawezalo kubaki kwenye nafasi ya nne, hii inaniaminisha kesho spurs hatoki kwa Chelsea either loss au droo.
 
Sijaelewa mkuu
Arsenal wangeshinda wangeenda wa watatu ila waliamua kudroo ili wabaki nafasi yao pendwa, tot akishinda arsenal atakua wa tano
Maombi yangu Tottenham ashinde.
The way i hate loserfool na arsenal am going all the way to Chelsea, its better Chelsea akachukua ubingwa kuliko hao spammer.
 
Man Utd late comeback WIN (vs midlle) . Arsenal late comeback DRAW & do scorpion kick celebration instead of trying to get a winner.
[HASHTAG]#Thedifference[/HASHTAG]
 
Arsenal wangeshinda wangeenda wa watatu ila waliamua kudroo ili wabaki nafasi yao pendwa, tot akishinda arsenal atakua wa tano

The way i hate loserfool na arsenal am going all the way to Chelsea, its better Chelsea akachukua ubingwa kuliko hao spammer.
Ohooo i get the point there.... To ma syd i dont wanna see all of em winning but for this hard case... Go chelsea
 
Imagine being an arsenal fan. Tinpot club who's fans happy to brag about annual 4th place. Took them 13 years to go from 4th to 2nd lmaoooo
Ila wanamdomo
2beed241d0b8e118f83c9b1f210f0f3c.jpg
 
Arsenal wangeshinda wangeenda wa watatu ila waliamua kudroo ili wabaki nafasi yao pendwa, tot akishinda arsenal atakua wa tano

The way i hate loserfool na arsenal am going all the way to Chelsea, its better Chelsea akachukua ubingwa kuliko hao spammer.
Hahahahhh so Asernal wamefanya makusudi ku 'draw ili wabaki nafac yao pendwa
 
Arsenal wangeshinda wangeenda wa watatu ila waliamua kudroo ili wabaki nafasi yao pendwa, tot akishinda arsenal atakua wa tano

The way i hate loserfool na arsenal am going all the way to Chelsea, its better Chelsea akachukua ubingwa kuliko hao spammer.

Kuna uwezekano chelsea anachukua ubingwa ila ushindi wa Tottenham utatuongezea nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa.

Chelsea akifungwa tunabaki na tofauti ya point 10. Tukikutana nao na tukawafunga tutabaki na tofauti ya point 7.

Kuna points kama 54 (18 matches zilizobaki) za kushindania, na ukiangalia consistency tulio nayo, najipa matumaini kabisa kuwa kuna uwezekano wa kuchukua ubingwa.

Lengo kubwa tujiwekee ni kuwafunga walio juu yetu.
 
Ikishindikana draw afadhali Chelsea ashinde. Kwa sasa tunashindana na Spurs.

Najua. Ila mimi naongelea malengo ya mwisho wa msimu.

Lengo langu ni kupunguza tofauti ya points zetu na yule wa kwanza.

Bado nina ndoto za ubingwa.

Tottenham hatunyimi usingizi, atarudi nafasi yake muda si mrefu.

Na tunaweza kufika nafasi ya 3 ndani ya mechi 2.

Man City mwenyewe hayupo vizuri achilia mbali vilaza Arsenal.
 
Back
Top Bottom