Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG-20161228-WA0001-1.jpg
 
Ibrahimovic ana nikumbusha YAYA SANOGO wa arsenal yani kama anaweza kufanya jambo la maana afu hawezi.....

it is disappointing

Hizi buys za IBRA + MIKHTARYAN ni WASTAGE OF MONEY

mtu atasema Ibra alikuja free ila hiyo pound 200k anayokula na kucheza kama YAYA SANOGO ni utter shambles

Wastage of money
 
Ibrahimovic ana nikumbusha YAYA SANOGO wa arsenal yani kama anaweza kufanya jambo la maana afu hawezi.....

it is disappointing

Hizi buys za IBRA + MIKHTARYAN ni WASTAGE OF MONEY

mtu atasema Ibra alikuja free ila hiyo pound 200k anayokula na kucheza kama YAYA SANOGO ni utter shambles

Bogus
 
Mdogo angu mkifika nafsi ya nne njoo woodmont pale opposite dstv hq uchukue uzi OG wa man u wa herrera
Nashukuru kwa complimentary kaka yangu wa hiari, nina uzi OG wa herrera na mensah ila nina mchina wa de gea, Rooney na morgan.

Nakudhibitishia mwezi wa pili hauishi mtakua mnagombaniana namba na soton
 
Nashukuru kwa complimentary kaka yangu wa hiari, nina uzi OG wa herrera na mensah ila nina mchina wa de gea, Rooney na morgan.

Nakudhibitishia mwezi wa pili hauishi mtakua mnagombaniana namba na soton

wavimba macho hao wanatia huruma sana.
 
Nashukuru kwa complimentary kaka yangu wa hiari, nina uzi OG wa herrera na mensah ila nina mchina wa de gea, Rooney na morgan.

Nakudhibitishia mwezi wa pili hauishi mtakua mnagombaniana namba na soton
Muda amekua rafiki mkweli sana kwangu
 
Back
Top Bottom