SALUM S HEMED
JF-Expert Member
- Mar 4, 2016
- 1,437
- 1,863
Naona siku hizi unaifahamu timu yako vizuri,kelele zimeishaWazee wa 6
Nakula good of good na binti yangu nikimaliza vacation ntaingia huku rasmi vip nasikia mmeshinda mfululizo mmependa toka nafasi ya Sita?Naona siku hizi unaifahamu timu yako vizuri,kelele zimeisha
Now utakuwa umekalia maneno yako sio kuyasimamia tenanasimamia maneno yangu IBRA hafiki magoli 15 ya EPL msimu huu
Ibrahimovic ana nikumbusha YAYA SANOGO wa arsenal yani kama anaweza kufanya jambo la maana afu hawezi.....
it is disappointing
Hizi buys za IBRA + MIKHTARYAN ni WASTAGE OF MONEY
mtu atasema Ibra alikuja free ila hiyo pound 200k anayokula na kucheza kama YAYA SANOGO ni utter shambles
Nakula good of good na binti yangu nikimaliza vacation ntaingia huku rasmi vip nasikia mmeshinda mfululizo mmependa toka nafasi ya Sita?
Ibrahimovic ana nikumbusha YAYA SANOGO wa arsenal yani kama anaweza kufanya jambo la maana afu hawezi.....
it is disappointing
Hizi buys za IBRA + MIKHTARYAN ni WASTAGE OF MONEY
mtu atasema Ibra alikuja free ila hiyo pound 200k anayokula na kucheza kama YAYA SANOGO ni utter shambles
Iko poa mtaalamu wa chimbo lilee kaka namalizia malizia nirudi nyumbanUmepotea sana uku? Timu yako inaendeleaje?
Mdogo angu mkifika nafsi ya nne njoo woodmont pale opposite dstv hq uchukue uzi OG wa man u wa herreraHAHAHAAAAAAA naona mmeamua kufukua makaburi ya wapiga ramli
Manchester united >>S. A. F>>Cantona (in that order)
Nashukuru kwa complimentary kaka yangu wa hiari, nina uzi OG wa herrera na mensah ila nina mchina wa de gea, Rooney na morgan.Mdogo angu mkifika nafsi ya nne njoo woodmont pale opposite dstv hq uchukue uzi OG wa man u wa herrera
Nashukuru kwa complimentary kaka yangu wa hiari, nina uzi OG wa herrera na mensah ila nina mchina wa de gea, Rooney na morgan.
Nakudhibitishia mwezi wa pili hauishi mtakua mnagombaniana namba na soton



wavimba macho hao wanatia huruma sana.Muda amekua rafiki mkweli sana kwanguNashukuru kwa complimentary kaka yangu wa hiari, nina uzi OG wa herrera na mensah ila nina mchina wa de gea, Rooney na morgan.
Nakudhibitishia mwezi wa pili hauishi mtakua mnagombaniana namba na soton
Arsenal wazee wa nafasi ya 4 man u nafasi ya 6