ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Anakaa uchi auManchester leo anakaa 3-1 bishenii
Anakaa uchi auManchester leo anakaa 3-1 bishenii
Memphis alishapewa sana chance toka kipindi cha van gaal lakini akashindwa kutetea namba, sasa kwann tumlaumu jose kwa hili wakati kaja kishamkuta dogo kaflop na dogo haoneshi kupigania nafasi yake.Sikumaanisha Hivyo Mkuu!! Namaanisha Kuwa Mourinho Anaendeleza Falsafa Yake Ya Kuwapoteza Vijana Hasa Pale Ninapomuangalia Very Talented Boy Anthony Martial na Depay Wanapopoteza Ndoto Zao...
Manake Mchezaji Kipaji Aliyekuwa Na Ndoto Za Kucheza One of the Top Club in Europe Halafu Akaishia Everton ni Ridiculous.....
Ndiyo Mana Nikasema Rashford Naye Huyo....
Memphis alishapewa sana chance toka kipindi cha van gaal lakini akashindwa kutetea namba, sasa kwann tumlaumu jose kwa hili wakati kaja kishamkuta dogo kaflop na dogo haoneshi kupigania nafasi yake.
Martial alikua ndio mchezaji wetu bora msimu uliopita ukiachana na dave na still bado ni mchezaji bora hata sasa. Kipindi tunaanza msimu dogo alikua na matatzo yake ya kifamilia ambayo yalimuathiri hadi ndani ya uwanja, kasolve matatzo yake but still sio martial yule wa msimu uliopita japo sikubaliani na suala la kuwekwa benchi na lingard.
Kuhusu Rashford yule bado mtoto ana mengi ya kujifunza na ni kosa mtoto mdgo vile kumfanya ndio tegemeo la timu, angalia ihenacho man city japo Aguero hayupo lakini dogo haanzi ndio tuseme kwamba kiwango chake kimeshuka au pep anamharibu?
Pia jaribuni kuangalia hata timu zingine sio kila kitu manchester, Batshuayi kanunuliwa na conte lakini hadi sasa haanzi licha ya kwamba Costa hayupo, mbona huyo hamuulizi au sababu sio manchester? Angekua jose ndio anafanya hivo mngesema anaua vipaji, sijawahi waona mna question gharama ya back line ya man city, more than 100 mill pound zimetumika, john stone, sane ni kinda waliochukuliwa kwa hela nyingi mno but they are doing nothing pale man city but never heard anything bad about them, WHY? simply because was not Mourinho who signed them.
Watu ni wa ajabu sana mkuu, kuna timu zinafanya hovyo, kuna talents nyingi zinapotea huko nje, lakini as long as sio sehemu ya manchester basi hawana shida nazo, kitu kidgo tu kikitokea manchester basi ni stori ya dunia.Kila mtu anaitazama Man United.
Mourinho anachezesha mchezaji anaefanya vizuri,mbona haumuongelei Lingard?
Mbona hushangai timu yako Henderson na Milner ndio makapteni ?Duh! Lingard Mbele Ya Martial??? Hata Jamhuri Kiwelu Hawezi Mueka Benchi Martial Akamchezesha Lingard aliyekuwa Hana sign Yoyote Ya Improvement.......
It's time to hate Man utd again!!Manchester leo anakaa 3-1 bishenii
Duh! Lingard Mbele Ya Martial??? Hata Jamhuri Kiwelu Hawezi Mueka Benchi Martial Akamchezesha Lingard aliyekuwa Hana sign Yoyote Ya Improvement.......
First, its was just sunderland!! we need to chill a little bit and dont go overboard.
Second, we had to get like 6 or 7 goals we missed alot of chances ni kama nilimkumbuka van nisterlooy.
Third, we played very well in the second half, everything was perfect ki ukweli nadhani Mikhi/Zlatan/Martial ndio inatakiwa wawe wana anza nadhan lingard is garbage.
Fourth, tukiendelea hivi, we can at least think about competing for top four.
All in all it was a decent game.
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]



Siyo offiside kwa sababu hskungeuka ...ila laiti angengeuka tu kuutanguliza mpira hapo ingekuwa offisedeWakuu nipeni ufafanuzi kidogo gori la mikhitarian sio offside ile kweli..??
![]()
Top five may be possible.First, its was just sunderland!! we need to chill a little bit and dont go overboard.
Second, we had to get like 6 or 7 goals we missed alot of chances ni kama nilimkumbuka van nisterlooy.
Third, we played very well in the second half, everything was perfect ki ukweli nadhani Mikhi/Zlatan/Martial ndio inatakiwa wawe wana anza nadhan lingard is garbage.
Fourth, tukiendelea hivi, we can at least think about competing for top four.
All in all it was a decent game.
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Is Lingard a garbage?First, its was just sunderland!! we need to chill a little bit and dont go overboard.
Second, we had to get like 6 or 7 goals we missed alot of chances ni kama nilimkumbuka van nisterlooy.
Third, we played very well in the second half, everything was perfect ki ukweli nadhani Mikhi/Zlatan/Martial ndio inatakiwa wawe wana anza nadhan lingard is garbage.
Fourth, tukiendelea hivi, we can at least think about competing for top four.
All in all it was a decent game.
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Is Lingard a garbage?
Ucha kuongea upuuzi. Kutokua sawa mecho moja unamuita garbage?
Angekuwa garbage angeshatolewa kwa mkopo au kuuzwa.
Nasubiri umuite na Rashford garbage.
Glory Hunter..Mkuu uyu ajibiwi.
Ni mawazo yakoIs Lingard a garbage?
Ucha kuongea upuuzi. Kutokua sawa mecho moja unamuita garbage?
Angekuwa garbage angeshatolewa kwa mkopo au kuuzwa.
Nasubiri umuite na Rashford garbage.
Top five may be possible.
Mwisho wa msimu;
1. Chelsea
2. Man city
3. Liverpool
4. Arsenal
5. Tottenham
6. Man utd