Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Shukran kwa kututakia mema karibu sana jukwaani kwetumimi ni chelsea fan, game yenu mlicheza poa sana, mm napenda mumtoe asernal
Shukran kwa kututakia mema karibu sana jukwaani kwetumimi ni chelsea fan, game yenu mlicheza poa sana, mm napenda mumtoe asernal
aiseee huyo depay ni bora atolewe kwa mkopo sio auzweTransfer Update:
1.Morgan Schneiderlein anaenda Everton £24milion
2.Memphis Depay huenda akaondoka kwa mkopo kukiwa na option ya kuuzwa mwisho wa msimu,kuna timu nyingi zinamtaka toka EPL na Serie A
kweli kabisa, dogo akipewa regular chance atarudi kwenye formaiseee huyo depay ni bora atolewe kwa mkopo sio auzwe
kweli kabisa, dogo akipewa regular chance atarudi kwenye form
aiseee huyo depay ni bora atolewe kwa mkopo sio auzwe
Mi nitaumia sana morgan akiondoka kuliko depay, kuondoka depay nabariki 100% lakini morgan roho itaniuma kama kwa rafaelHuyu depay tusije fanya makosa kama ya Diego forlan aisee atoke kwa mkopo tu kama januzaj
ShukranNawatakia heri ya njema ya msimu wa sikukuu
Tatizo wanaweza ishia hukohko au utawaona katika team zingine kama kina Josh King, Mike Kean na wengine....Wale vijana wa nick butt naona tuna hazina nzuri kule hupata muda wa kuwatizama na na burudika kweli na kuona huko mbele hatuta tetereka
Yaah yule mmatumbi yupo vizuri halafu kunaTatizo wanaweza ishia hukohko au utawaona katika team zingine kama kina Josh King, Mike Kean na wengine....
Kuna yule black anavaa jezi namba 8 mzuri sana namfuatilia nijue mwisho wake
Wale vijana wa nick butt naona tuna hazina nzuri kule hupata muda wa kuwatizama na na burudika kweli na kuona huko mbele hatuta tetereka