Tunachukia anaporudia makosa yale yale kila match, ebu nieleze sababu ya kutomchezesha Mata game ya Everton ni nini??? Nani asiyefaham Mata anapokua uwanjani anavyokua na msaada kwa timu?? Yeye anatuingizia Fellain, shameKwa hili nakubaliana nawe...ila siku patience na team stability (kwa United) havizingatiwi kabisa...Moyes could have been a long term project...sasa baada ya 14 games, watu humu wanataka Mourinho afukuzwe, really?
Hii game ndio itakua ni kipimo changu cha mwisho kwa Mou, sioni dalili ya kupona kabsaimagine sasa....unadhani kwa TREND HII mourinho ataipata TOP 4?
Confidence ya timu inakuwa chini kadiri mnavyopata matokeo HASI
nikwambie tu NEXT WEEK na SPURS hiyo ni big TEST kwenu japokuwa mtakuwa OT
mnaweza mkaambulia sare ingine au mkafungwa jambo ambalo litawamaliza kabisa
daah hali sio shwari mazee
Mi nashangaa wenzangu humu wanakuwaje wana vumilia vipigo kias kwamba wanatetea hali iliyopo!!?Well said mkuu, next game tunapiga na Totenham, kipigo kingine kinatungoja aisee, nina marafiki baadhi ni asernal fans na wengine ni Liverpool fans, itabidi niwafate niwaombe wanipe siri ya uvumilivu wao wa vichapo/trophless
NB: kwann alimuweka Mata nj'e wakati Mata yupo form, Juan Mata is creative player on the ground, he can assist or scoreSija li discredit goli, ninacho sema lilikuwa ni kosa la kipa na si ufundi wa Ibra ulio sababisha goli. Tuna option mbili tuu
1.Mourinho afukuzwe.
Yeah najua mtasema mapema mnoo lakini mapema ndio vizuri, mou mpaka sasa hana kikosi cha kwanza, haja weza kufanya sub za maana, kashinda mechi chache sana, pia kumbuka chelsea walichelewa kumfukuza lakini haku improve, nadhan Mou wa kuanzia mwaka 2013, mpira ulisha anza kumpotea.
Mechi 11 za mwisho za Mou hizi
1-1, 1-1, 1-1 3-1, 0-0, 0-4, 0-0, 1-1, 4-1, 1-3 na1-2.
9 points out of a possible 33 ..... 27.3%
For now yeye ndio kocha mbovu kuliko wote tangu babu Alex astaafu.
.Au
2.Mou abaki lakin afanye yafuatayo.
-Pogba haja fiti kwenye timu atafute namna ya kumfanya afit ambayo ni kutafuta mfumo utakao muwezesha Pogba acheze na ma mido wa 2, ambao kati ya hao lazima mmoja awe na kasi mfano angalia alipo kuwa akicheza yeye, vidal na pirlo, mechi nyingi anazo cheza yuko slow si lazima acheze kama hafit kwenye mfumo au badilisha mfumo
-awatumie Basti na Schneiderlin, mechi nyingi tuu zimeonesha umuhim wao. Pia kuna madogo kama kina Tuanzebe na TFM awatumie, uzuri wa LvG tulikuwa tunafeli lakin at least unaona anatumia vijana. Huyu wa sasa hawatumii hao madogo na ana zidi kuboronga kuloko Sir LvG
-timu haina discpline na morali, ni kazi yake hiyo kufanya morali na nidhamu viwepo mfano. Angalia jinsi tulivyo fungwa magoli msimu huu kwa dakika.
Watford (83'+90'), Arsenal (89'), Everton (89'), Fenerbache (83'), Stoke (82') and Feyenoord (79').
Chelsea (1'), Fenerbache (2') and West Ham (2').
Timu ina onesha hapo ni no self-control, no discipline, no awareness, hili ni kosa lake awaande wachezaji wakabiliane nalo yeye ndio kiongozi.
-aache kuwapendelea Pogba na Ibra, anaweka matabaka, hasa Ibra hata leo ilitakiwa ibra apigwe sub, pia asiwa treat hao kama ndio wana stahili kupata game time kuliko wengine, kama ameweza kumuacha Blind na kuanza na Darmian alishindweje ku msub Ibra ambaye kuna Tym alichoka kabsa!? Matabaka yanavunja umoja.
-Mikhi ni mchezaj muhim amtumie vzuri kwa sasa hafanyi hivo bado.
Yako Mengi sana lakin hayo ni baadhi ya mambo ya kufanya la si hivo tutakuwa tunafungwa mpaka tuzoee.
Nakuelewa braza. Ndiyo maana nikasema José ni binadamu, hivyo kufanya makosa hakuepukiki. SAF had similar days too. Ingawa kwa picha kubwa, kusema ukweli kocha ndiyo yupo kwenye nafasi kubwa ya kujua nani aanze first 11, kwani anawaona wachezaji kwenye mazoezi. Sisi kama mashabiki tunatumia hisia zetu tu na jinsi mchezaji fulani anavyocheza.Tunachukia anaporudia makosa yale yale kila match, ebu nieleze sababu ya kutomchezesha Mata game ya Everton ni nini??? Nani asiyefaham Mata anapokua uwanjani anavyokua na msaada kwa timu?? Yeye anatuingizia Fellain, shame
I certainly know Mata's contributions to the team. But, don't make it like he has helpes the team to win in all the matches that he has played!NB: kwann alimuweka Mata nj'e wakati Mata yupo form, Juan Mata is creative player on the ground, he can assist or score
Bro nina wasiwasi wewe SIO shabiki wa Manchester United. Umekuja tu kuleta mtafaruku na mivurugano ya kimawazo kwenye hili jukwaa (Don't ask me why).Sijawahi kusema kuwa mourinho hakuna alicho badilisha kuliko LvG, kipo nacho ni tempo, na amepunguza kidogo back passes. Si mcredit kwenye kuongeza shots kwa sabab shots zikiwa tame hazina maana bora upige shot moja ufunge kuliko kupiga shot 12 halafu hufungi hata moja. Kwa hiyo hapo namsifia LvG kwa kuwa accurate, few shots na few goals lakini alikuwa ana ondoka na points. So Mou kafanya improvement? Kwa tafsiri yangu ni hapana kafanya changes, changes zenye kuleta matokeo ndio zinaitwa improvements. Other wise ikitokea mambo yakaja kuwa mazuri ntaziita improvements. Na kama shabiki namuombea aweze kuonesha improvements.
Nimesema Mou hawezi kumaliza vizuri kwa kuangalia historical facts kaka, nimesema Moyes alianza vibaya hakumaliza vizuri, mwaka jana yeye mwenyewe Mou alianza vibaya hakumaliza na chelsea. Tangu ligi ya EPL mpya ianzishwe miaka ya 90, ni timu mbili tuu zilikuwa na point 21 baada ya mechi 14 na kufanikiwa kumaliza top 4, nayo ni Liverpool mwaka 2006/07 na Arsenal mwaka 2012/13.
Sasa nikisema Mou hawezo ku turn back odds zinaonesha hivo siyo mimi tuu. Whats wrong with you guys!!? Najitahidi kila ninacho ongea at least nilete ushahidi ila mna dismis!
Kazi yangu mimi kama mshabiki sio kukubaliana timu yetu kufukuzana na watford na westbrom kwenye table, kama wewe ina ku please kuona hivo may be its okey, mi sina tatizo na wewe sisi sote ni mashabiki wa timu moja tuta vumiliana kama hivi.
Aje Asernal?? Are you serious??Nimeshakwambia siku nyingi njoo arsenal hutaki hiyo siyo kabila kaka tena we mchambuzi mzuri twende kule
Mpaka sasa Napenda atoke.
Ila akibaki (jambo ambalo ndio ltatokea) napenda afanikiwe. Aspo fanikiwa ntampinga wazi wazi kabsa kama ninavo fanya now mkuu.
Bro nina wasiwasi wewe SIO shabiki wa Manchester United. Umekuja tu kuleta mtafaruku na mivurugano ya kimawazo kwenye hili jukwaa (Don't ask me why).
I dont know!, any body better, na wapo wengi tu.Kama akifukuzwa unataka nani achukue nafasi yake?
Kwann Mou hakumchezesha Juan Mata? Kumbuka Mata anapokua uwanjani uwa ana offer vitu vingi! asiposhinda uwa ana assist, isitoshe Mata msimu huu kama ManOfTheMatch game kibao.
Mou akiendelea kwa style hii maisha yatamshinda pale OT
Kama akifukuzwa unataka nani achukue nafasi yake?
Duh! Yaani status quo with fake IDs?!? I'm done with you boy! So, take over the thread! You have succeeded in making a revolution by challenging the status quo!I take my self as new kid on the block, nimekuja nimekuta mna ka status quo kenu, mna namna yenu ya kufikiria, kuna watu wenu mnawachukulia kama ndio role models wa uchambuzi hapa.
Nimekuja na idea mpya, nimekuja na namna yangu ya kufikiri inayo pishana na nyie, ni kama nimevuruga utamaduni wenu ndio maana hata wewe unaona kama naku disturb.
By the way who are you to say mimi siyo shabiki wa man u? Then unaniwekea conditions nisikuulize why!!?
Ruhusuni fikra mpya, tuache kudictate mawazo ya watu, siku za mwanzo naingia hapa nilisema, kwenye hili jukwaa hakuna shibiki bora zaid ya mwenzie, tunatofautiana mawazo, lakin sote tunaungana kuombea timu yetu ifanikiwe.
Nini kina kufanya wewe ujione ni shabiki wa man utd kuliko mimi!? Ukichunguza kwa makini utakuja kujua kuna ka status quo kalikuwepo hapa ndio nime kuja kukavuruga
Well am for it, ntatoa mawazo yangu kadri niwezavyo. Kwani tukipishana mawazo ni dhambi? Jamii isiyo na mawazo mbadala huwa haindelei mkuu.
Hakuna shabiki bora kuliko wengine sote tunaipenda man utd sote tunaitakia mafanikio.
Yes! Its a revolution, i refuse to think in the way you want, i will think the way i want.Duh! Yaani status quo with fake IDs?!? I'm done with you boy! So, take over the thread! You have succeeded in making a revolution by challenging the status quo!
Go on boy...the floor is ALL YOURS.Yes! Its a revolution, i refuse to think in the way you want, i will think the way i want.
Toka siku ya kwanza hukunielewa, sidhani kama utakuja kunielewa na nina sikitika kwa hilo. kwa performance hii ya Mourinho bro utafika stage ya kunichukia nadhani, labda abadilike aanze kupata matokeo.
I detest very much the way mna ni treat kwa sababu ya kupishana mawazo. Hasa wewe. I detest very much watu kama wewe wanao taka kuweka namna ya moja tu ya kuwa shabiki wa man utd, wakati hakuna exactly model ya how to be a man utd fan.
Mwisho wa siku bado na kuhesabu wewe ni shabiki wa man utd tunaye pishana kabisa kabisa mawazo.
Go on boy...the floor is ALL YOURS.
NB: I'm way grown up kumchukia mtu ambaye anatumia fake ID. I will be insane to do so. So, no hard feelings boy. Peace out.
Mi nataka huyo dogo anijibu. Nimesoma malalamiko yake sijaona yenye mashiko.Hakuna kocha anayeweza kufix hiyo timu ndani ya miezi 4 hata akija SAF now itamshinda,kufukuza kocha is not the best option so far