Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ile juve ya msimu uliopita mpaka muda huu walikua na hali mbaya sana huku napoli akitakata tu kileleni ila kilichotokea baada ya msimu kuisha kila mtu aamini.....bado naamin pogba ana maajabu yake sitamu underrate kamwe
 
Yes mkuu
Unaweza kuifananisha timu yetu ya mwaka jana na timu ya Rodgers!!?
Rodgers alicheza meche 6 akawa ana point 8.

You guys mnataka mseme LVG was a disaster kama Rodgers!!!?

Mourinho hakutukuta kwenye crisis, alitukuta tukiwa tume underperform tuu .

Manchester ya jose ina underperform au ipo kwenye crisis??
 
[QUOTE="Iceman 3D, post: 18769793, member: 385104" bora upige shot moja ufunge kuliko kupiga shot 12 halafu hufungi hata moja . [/QUOTE]

Katika mechi 14 za mwisho kwa van gaal tulifunga magoli 16, jose kwenye ligi ana goli 19(katika mechi hizi 14), tunaenda mbele au tunarudi nyuma?
 
[QUOTE="Iceman 3D, post: 18769793, member: 385104" bora upige shot moja ufunge kuliko kupiga shot 12 halafu hufungi hata moja .

Katika mechi 14 za mwisho kwa van gaal tulifunga magoli 16, jose kwenye ligi ana goli 19(katika mechi hizi 14), tunaenda mbele au tunarudi nyuma?[/QUOTE]

Mbona una jaji sehemu ndogo hivo!?
Sasa kama tumefunga goli 19,halafu na sisi tumefungwa goli 16 si ni ujinga huu sasa!!!
Naamini katika mechi hizo tulizo funga magoli 16 tulitoka na point nyingi kuliko now, na thats waht matters, hivyo tume ziba kushoto halafu tume toboa kulia hilo si jambo la kujisifia kaka.

Lakini naombea jamaa apate matokeo mazuri, na akipata matokeo mazuri ntakaa kimya na ntakuwa nachekelea tuu hapa, ila for now noooo! Tunako enda si salama
 
Hawa jamaa wako encouraged na kushinda mechi 2, kati ya 11!!!

No wonder klabu yetu haifanyi vzuri.
Even the hierarchy have to be changed for now


Unayoongea ni mambo ya ajabu sana ndio maana Nzi sometime anakuuliza una umri gani na kwenye modern football sidhani kama mashabiki dizaini yako wataweza ku-survive.Tangu mwanzo naona unaenda mbele hatua moja then unarudi nyuma hatua 6 na huwezi kujadili hoja moja ukamaliza unahamia hoja nyingine

Mwanzo ulisema hakuna any positive alicholeta Mourinho baadae ukabadilika ukasema kaongeza tempo
 
Unayoongea ni mambo ya ajabu sana ndio maana Nzi sometime anakuuliza una umri gani na kwenye modern football sidhani kama mashabiki dizaini yako wataweza ku-survive.Tangu mwanzo naona unaenda mbele hatua moja then unarudi nyuma hatua 6 na huwezi kujadili hoja moja ukamaliza unahamia hoja nyingine

Mwanzo ulisema hakuna any positive alicholeta Mourinho baadae ukabadilika ukasema kaongeza tempo

Kwanza nakuheshimu sana
Pili huyo Nzi mnaye m refference hapa, who the hell is he!!? Ndio wikipedia yenu nini!!?
Huwa napoteza heshima kwa mtu anaye attack personality ya mtu, hata nikiwa na miaka 7 inahusiana nini na nilicho zungumza!!?

Hivi positive na changes ni neno moja? Nilisema hakuna kitu positive alicho leta.
Now nimesema amefanya changes na changes hazina positive results, labda kama lugha imekuchanganya, mimi sijawahi ku reverse maoni yangu. Kwa hiyo wewe unaona tempo ni positive mimi sioni, soma maoni yangu kwa Herrera ambaye pia namhushemu sana hapa. Aliniuliza kuhusu improvement na nime mwambia kuna changes ila hakuna improvements. Whats wrong with you kaka!! Soma comment yangu vzuri.

Hoja gani niliyo hama!? nikisha itolea maelezo yangu, naendelea na jambo jingine. Sihami nikihama maana yeke siamini nilicho ongea

Ukitaka sasa wewe andaa mjadala wako sema leo tuzungumzie hoja hii tu, ntakuwa tayari kwa hilo.

Umesema pia naongea mambo ya ajabu!!, hebu nitajie angalau jambo moja la ajabu. La si hivo ntakuona unataka kuni attack bila sababu, jambo ambalo na mimi naliweza kufanya attack bila sabbu.

*nilisha toa taarifa mi siko hapa kufanya mnavo taka nyie ntatoa maoni yangu ninavo taka mimi, anaye taka mjadala ntajadili anaye taka tushambuliane ntamuacha kwa kuwa sipendi kugombana na shabiki mwenzangu, ila ikizidi i will strike back pia.
Nnacho amini sisi wote ni mashabiki wa timu moja ambayo now inafanya vibaya, lazima mawazo yapishane hkuna namna.
 
Kwanza nakuheshimu sana
Pili huyo Nzi mnaye m refference hapa, who the hell is he!!? Ndio wikipedia yenu nini!!?
Huwa napoteza heshima kwa mtu anaye attack personality ya mtu, hata nikiwa na miaka 7 inahusiana nini na nilicho zungumza!!?

Hivi positive na changes ni neno moja? Nilisema hakuna kitu positive alicho leta.
Now nimesema amefanya changes na changes hazina positive results, labda kama lugha imekuchanganya, mimi sijawahi ku reverse maoni yangu. Kwa hiyo wewe unaona tempo ni positive mimi sioni, soma maoni yangu kwa Herrera ambaye pia namhushemu sana hapa. Aliniuliza kuhusu improvement na nime mwambia kuna changes ila hakuna improvements. Whats wrong with you kaka!! Soma comment yangu vzuri.

Hoja gani niliyo hama!? nikisha itolea maelezo yangu, naendelea na jambo jingine. Sihami nikihama maana yeke siamini nilicho ongea

Ukitaka sasa wewe andaa mjadala wako sema leo tuzungumzie hoja hii tu, ntakuwa tayari kwa hilo.

Umesema pia naongea mambo ya ajabu!!, hebu nitajie angalau jambo moja la ajabu. La si hivo ntakuona unataka kuni attack bila sababu, jambo ambalo na mimi naliweza kufanya attack bila sabbu.

*nilisha toa taarifa mi siko hapa kufanya mnavo taka nyie ntatoa maoni yangu ninavo taka mimi, anaye taka mjadala ntajadili anaye taka tushambuliane ntamuacha kwa kuwa sipendi kugombana na shabiki mwenzangu, ila ikizidi i will strike back pia.
Nnacho amini sisi wote ni mashabiki wa timu moja ambayo now inafanya vibaya, lazima mawazo yapishane hkuna namna.
Naomba niishie hapa maana hayo unayoanza siyawezi
 
Kwanza nakuheshimu sana
Pili huyo Nzi mnaye m refference hapa, who the hell is he!!? Ndio wikipedia yenu nini!!?
Huwa napoteza heshima kwa mtu anaye attack personality ya mtu, hata nikiwa na miaka 7 inahusiana nini na nilicho zungumza!!?

Hivi positive na changes ni neno moja? Nilisema hakuna kitu positive alicho leta.
Now nimesema amefanya changes na changes hazina positive results, labda kama lugha imekuchanganya, mimi sijawahi ku reverse maoni yangu. Kwa hiyo wewe unaona tempo ni positive mimi sioni, soma maoni yangu kwa Herrera ambaye pia namhushemu sana hapa. Aliniuliza kuhusu improvement na nime mwambia kuna changes ila hakuna improvements. Whats wrong with you kaka!! Soma comment yangu vzuri.

Hoja gani niliyo hama!? nikisha itolea maelezo yangu, naendelea na jambo jingine. Sihami nikihama maana yeke siamini nilicho ongea

Ukitaka sasa wewe andaa mjadala wako sema leo tuzungumzie hoja hii tu, ntakuwa tayari kwa hilo.

Umesema pia naongea mambo ya ajabu!!, hebu nitajie angalau jambo moja la ajabu. La si hivo ntakuona unataka kuni attack bila sababu, jambo ambalo na mimi naliweza kufanya attack bila sabbu.

*nilisha toa taarifa mi siko hapa kufanya mnavo taka nyie ntatoa maoni yangu ninavo taka mimi, anaye taka mjadala ntajadili anaye taka tushambuliane ntamuacha kwa kuwa sipendi kugombana na shabiki mwenzangu, ila ikizidi i will strike back pia.
Nnacho amini sisi wote ni mashabiki wa timu moja ambayo now inafanya vibaya, lazima mawazo yapishane hkuna namna.

Hizo changes ziko positive/negative?
 
Kwahiyo unataka Jose Morinho afukuzwe au abaki?
Mpaka sasa Napenda atoke.

Ila akibaki (jambo ambalo ndio ltatokea) napenda afanikiwe. Aspo fanikiwa ntampinga wazi wazi kabsa kama ninavo fanya now mkuu.
 
Guys hebu muache kubishana aisee maana naona mngekuwa karibu mngevamiana hapa. Kama mtu anatoa maoni atoe ila sio kwa hasira mana wengine mnapanic humu.
 
Naomba niishie hapa maana hayo unayoanza siyawezi
Si kweli kuwa nimeyaanza, nilikuwa najibu msg yako.

Naamini mi na wewe bado tunaweza kuwa na mijadala jenzi hapo baadaye mkuu.
 
Unaongea ukweli, Mou alibweteka na ushindi wa juzi wa 4 dhido ya west ham, that was just EFL cup!, na hata hivo Wenger jana kampiga west ham huyo huyo 5 tena kwao. This means hata juzi tuli underperform.
Kila siku ana jitetea bahat mbaya, how comes iwe bahat mbaya mech zote hizo, thats a crap.

Kama leo ndio nimeona hana tactics kabsaa, Kipindi cha kwanza tulicheza afadhali siyo vizuri na goli lenyewe ibra kafunga ni kipa alifanya kosa kiaina tu, kwa mfano mashambulizi yale ya mwishoni ingewezekana hata tungepigwa 2-1, then anatoka Mikhi ana ingia Fellaini, duuh!!

Mou apewe muda lakin kama kila siku hata admit makosa ana sema tuu we were unlucky hapo nadhani hana maana. Na nakumbuka Moyes alifanya vzuri kuliko yeye japo alikuwa na wachezaj wabovu na wasio mpenda kabsa. pia Mou ana lipwa pesa nyingi ili alete matokeo not otherwise.

Daah! Mkuu nna mengi ya kuandika sema bas tu.
Well said mkuu, next game tunapiga na Totenham, kipigo kingine kinatungoja aisee, nina marafiki baadhi ni asernal fans na wengine ni Liverpool fans, itabidi niwafate niwaombe wanipe siri ya uvumilivu wao wa vichapo/trophless
 
Sidhani kama uliangalia mpira Mkhitarian,Pogba wote kipindi cha pili walichemsha hao ndio walipaswa kutolewa na tatizo sio kuwatoa but walioingia ndio hawakuwa na msaada,Mourinho alipaswa kubadili formation na kumuingiza Mata atoke Pogba/Mkhitaryan
Kwann Mou hakumchezesha Juan Mata? Kumbuka Mata anapokua uwanjani uwa ana offer vitu vingi! asiposhinda uwa ana assist, isitoshe Mata msimu huu kama ManOfTheMatch game kibao.
Mou akiendelea kwa style hii maisha yatamshinda pale OT
 
Back
Top Bottom