chinekeeee
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,787
- 2,896
SHIKAMOOO FELLAIN
Enough is enough, Jose must go.Unaweza kuwa ni mapema mno kusema! Lakini Mou have to go, ameharibu timu kabisa, mbinu zake za kizee za kulinda goli na sub ya Fellaini mcheza foul mkubwa zimetukosesha ushindi. Sitaki Mou, aende zake.
Yani siamini leo narudi nyumbani kwa kuvizia!! Maana haya ma aseno na chelsii sitaki yanione maana nna hasira sana nisije nikaamkia jela kesho!!!
Daaaah siamini kama tume draw!!!
bora hata wewe sasa na mimi hayo machelsea ni ubavu wangu yaani anavyonizomea hapa natamani nimpige bonge la kofi
.... yaani very bad weekend ... nawaza tu safari ya kurudi nyumbani nitakavyotaniwa ,bora ningeangalizia nyumbani tu.![]()
![]()
![]()
bora hata wewe sasa na mimi hayo machelsea ni ubavu wangu yaani anavyonizomea hapa natamani nimpige bonge la kofi
![]()
![]()
.... yaani very bad weekend ... nawaza tu safari ya kurudi nyumbani nitakavyotaniwa ,bora ningeangalizia nyumbani tu.
Umeua kabisaKesho tutawasikia Mourinho na Hererra wakidai kuwa Man Utd deserve 10 pts. Hahahaha yeah mtapewa 10pts on the table kama FAT ilivyokuwa inawapa Yanga Enzi za Mwinyi
Sub za Leo sijazielewa kabisa....... yaani Mimi hasa kipindi cha pili kimeniumiza sana tukawaacha Everton watuchezeshe wanavyotaka,kukawa no connection Ni kutibua tibua tu mpira ,mpira haushuki zaidi ni kujilinda tu,kabla ya sub angalau Hata kaukuta kalikuwa kanaeleweka after sub tukawapa mwanya zaidi ingawaje na sisi tulishambulia dakika fulani lakini kukawa hakuna connection kabisa.Zlatan,pogba,martial wamepoteza mipira sana!mikhitaryan kwangu ndo mchezaji pekee aliekua anaonesha uhai mbele,na ndo huyohuyo mou anaenda kumtoa!
Yani siamini leo narudi nyumbani kwa kuvizia!! Maana haya ma aseno na chelsii sitaki yanione maana nna hasira sana nisije nikaamkia jela kesho!!!
Daaaah siamini kama tume draw!!!
