Umenielewa kweli nilichokisema? Makosa ya Michael Oliver ya kutompa kadi Barry, ndiyo yalipelekea Rojo asipewe kadi nyekundu...hivyo ninachokilalamikia ni ubovu wa refa katika kufanya maamuzi dhidi ya United..Rojo alitakiwa aondoke(Nakupa heko kwa hilo) lakini nashangaa kwa nini unalalamika kwaa Barry kutopewa Yellow? Hii ni perfect example ya Everything balanced itself out at some stage. Anyway, Barry kashapewa Yellow sekunde chache ago.
Umenielewa kweli nilichokisema? Makosa ya Michael Oliver ya kutompa kadi Barry, ndiyo yalipelekea Rojo asipewe kadi nyekundu...hivyo ninachokilalamikia ni ubovu wa refa katika kufanya maamuzi dhidi ya United..
Jana niliweka picha ya Luiz akimkanyaga Fellaini (raised foot tackle), lakini hata kadi hakupata...jana Luiz katimbwa na Kun, Kun kapata nyekundu...Wenger, Klapp na Conte wakipiga chupa za maji kwa frustrations, wanasemwa kwamba they are passionate about football. Josè kufanya hivyo, kadi na faini juu...
[HASHTAG]#justsaying[/HASHTAG]
Nadhani atatolewa rojo ataingia Eric beillyRojo inabidi atolewe, asije kula nyekundu, ikawa balaa...
Kwahyo unatufananisha na Liver? timu ambayo mtoto anazaliwa mpk anachukua Degree ya pili hawajui ladha ya ushindiDua la kuku limempata mwewe mechi ya Bournemouth vs Liverpool. Kumbuka hilo.
Lukaku amemzidi nguvu, nadhani Eric atamuweza!Nadhani atatolewa rojo ataingia Eric beilly
Umenielewa kweli nilichokisema? Makosa ya Michael Oliver ya kutompa kadi Barry, ndiyo yalipelekea Rojo asipewe kadi nyekundu...hivyo ninachokilalamikia ni ubovu wa refa katika kufanya maamuzi dhidi ya United..
Jana niliweka picha ya Luiz akimkanyaga Fellaini (raised foot tackle), lakini hata kadi hakupata...jana Luiz katimbwa na Kun, Kun kapata nyekundu...Wenger, Klapp na Conte wakipiga chupa za maji kwa frustrations, wanasemwa kwamba they are passionate about football. Josè kufanya hivyo, kadi na faini juu...
[HASHTAG]#justsaying[/HASHTAG]
rubaman naona unafuatilia timu yako ya moyoni lol