Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sub za Leo sijazielewa kabisa....... yaani Mimi hasa kipindi cha pili kimeniumiza sana tukawaacha Everton watuchezeshe wanavyotaka,kukawa no connection Ni kutibua tibua tu mpira ,mpira haushuki zaidi ni kujilinda tu,kabla ya sub angalau Hata kaukuta kalikuwa kanaeleweka after sub tukawapa mwanya zaidi ingawaje na sisi tulishambulia dakika fulani lakini kukawa hakuna connection kabisa.
Yeah kweli,kipindi cha pili mou alitakiwa kufanya sub mapema!tayari kati palianza kuelemewa kutokana na mipira yote ikifika kwa pogba au zlatan inapotea,carrick na herrera wakawa wameanza kuzidiwa,mata alitakiwa mapema akaongeze nguvu!
Na dalili zilianza kuonekana mapema ila mou alipuuzia
 
jose-mourinho.jpg
 
Big Fella haitaji mtetezi yeye anapiga shughuli yake uwanjani ni chaguo la kocha wetu The Spesho One BTW tuna allergy na game za w'end ngojeni muone balaa letu kwenye YUROPA tunawakandamiza LORIA FC mpaka wajute.
GGMU.
Nimecheka sana.......

Eti LORIA FC..
 
I miss these moments...

Dah.. Ngoja nilale tu sad!


 
Leo angetoka hata Pogba aingie Blind/Mata kwa mtazamo wangu leo pogba hakua mchezoni
Huwa Pogba sio mzuri akicheza namba 10, mech nyingi sana naona huwa hachez vizuri akipewa role ya namba 10. Dah ila inauma sana. GGMU
 
Leo angetoka hata Pogba aingie Blind/Mata kwa mtazamo wangu leo pogba hakua mchezoni
Huwezi kumchezesha pogba namba 10, kwa kweli huu ni ujinga na ilisha shindikana, kwa nini asi muingize mata!!? Kwa mfumo wa 4-2-3-1, Pogba angeweza kucheza 10 at least kama tuna tumia 4-3-3 ambapo awe ana cheza na mtu kama Pirlo au Carrick, hivi kweli kocha kama Mourinho hakufikilia jambo kama hili ambalo hata mimi naweza kufikilia!!?
This guy is finished hamna kitu hapo.

Inakera
 


Nacheka kwa maskitiko, halafu kuna watu wanasema eti timu ime improve!.
Wacha wayaone wenyewe
 
Heri saresare kuliko kupoteza hawa everton wanatukomaliaga sana nakumbuka kuna msimu walitunyima kombe tukiwa kwenye harakati za kubeba kombe tukatoa nao draw ya nne nne.
Bahati bado haijasimama tu kwetu hata ukicheck goli lenyewe ndo vile herera naye anagonga mwamba.

Ila Pogba inabd akaze kuna mipira mingne anapoteza kwa kukosa umakini.

Tujipange kwa next game hope timu itarudi kwenye mstari tuu
Huyo pogba ndio mchawi wetu,kama unaangalia kwa umakini anakosa umakini sana na anapenda sana kucheza mpira ili aonekane sio kucheza kwa nafasi au kitimu zaidi
 
Kitu ambacho Mourinho anakosea anashindwa kubalika katika soccer la kisasa ni bora harudi darasani ukasome upya
 
United have dropped 7 points from goals conceded in the last 10 minutes of PL games this season.

Fellaini hana kosa aliyeumiza akili yake aka muingiza sub ndio mwenye kosa, naye ni Mourinho.
Huwezi uka muacha schwainsteiger na Schneiderlin home wana angalia mechi halafu una mbeba fellaini. Hii siyo bahati mbaya ni kosa la kocha.

Even Moyes was better at this stage he had 22 points kama skosei. Na hata kama nimekosea naamini tuna itafuta namba 7 au 8
Mou mbinu zimemuishia toka alivyofukuzwa Madrid, mkuu Mou anatupeleka shimoni, mtu atakaeweza kutuokoa i think ni Diego Simeon.
Haiwezekani unamuacha Shwerztieger nyumbani alafu unamchukua Fellain, akiri ya Mou inawaza mpira wa kujilinda zaidi badala ya kushambulia
 
Ningekua mshauri wa mourinho,ningemshauri fella asiingie kwenye penalty box yetu,hata kama tunashambuliwa,asubirie mipira inayoyoka nje ya box ndo aicheze. Hii si coincidence kila mara niyeye tu
Nafikiri Fellain angetolewa bure kwenda kwa ile club ya Brazil iliyopoteza wachezaji kwenye ajari ya ndege, free transfer
 
Back
Top Bottom