Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Agent Fellaini at his best... Lakini bado muda wa kushinda upo kwenu
 
Kula leki leo Link yangu mbooovu hata penati haikuonyesha.
 
Hahahaha 2 wins in 11 games. Mourinho anazidi kuvunja rekodi kama waliomtangulia Moyes na LVG walivyofanya... BACK TO 6 a midtable spot.
 
Unaweza kuwa ni mapema mno kusema! Lakini Mou have to go, ameharibu timu kabisa, mbinu zake za kizee za kulinda goli na sub ya Fellaini mcheza foul mkubwa zimetukosesha ushindi. Sitaki Mou, aende zake.
 
Unaweza kuwa ni mapema mno kusema! Lakini Mou have to go, ameharibu timu kabisa, mbinu zake za kizee za kulinda goli na sub ya Fellaini mcheza foul mkubwa zimetukosesha ushindi. Sitaki Mou, aende zake.
Mh! Kumfukuza Mourinho kutasaidia kweli ndugu? Au ndiyo unataka timu iwe ya kutimuatimua tu? Let's have him and judge him at the end of the season bruh!
 
Unaweza kuwa ni mapema mno kusema! Lakini Mou have to go, ameharibu timu kabisa, mbinu zake za kizee za kulinda goli na sub ya Fellaini mcheza foul mkubwa zimetukosesha ushindi. Sitaki Mou, aende zake.

Mou seriously hana tactics. Kuzuia ni mpira wa kizamani sana.
 
Mh! Kumfukuza Mourinho kutasaidia kweli ndugu? Au ndiyo unataka timu iwe ya kutimuatimua tu? Let's have him and judge him at the end of the season bruh!

Mou na baadhi ya wachezaji kama fellaini, rojo Ibrahimovic, rooney
 
Back
Top Bottom